sawa! nachomaanisha ni kpind kile waliofanya usail wa jw wengi wao walikuwa washafanya usail pind tu walvyoenda kujenga ukuta ,jw wakaja kuchukua watu,je hakuna alyechaguliwaga kwenda koz ya jw lakn akawa yupo merelan!!
google mm hvyo nashindwaga elewa kujua huu ni mzunguko wa cku 28 au 31, ningependa kujua kwa urahic,mfano ameanza kubleed tareh 25 mwez 6 na zkakata tarehe 28 hapo cku gan nikigusa nakuwa baba kijacho?
kama huwa anaingia kwenye tareh 25 kwa 26 itakuwaje,pia mm cjui kuhusu mzunguko nngependa nijue mfano kama ameanza kubleed tareh 25 AF zmekata baada ya cku nne hapo cku gan nikigusa nakuwa baba kijacho?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.