Recent content by Msule JL

  1. M

    NAFASI ZA JKT 2019 ZIMETOKA

    Mbona hvyo vgezo nmeona ni vyo form 4 kulingana na post ulyoweka
  2. M

    NAFASI ZA JKT 2019 ZIMETOKA

    Vigezo vya form 6 kwa mwaka walio malza shule ni upi
  3. M

    NAFASI ZA JKT 2019 ZIMETOKA

    Npe mrejesho kiongoz
  4. M

    NAFASI ZA JKT 2019 ZIMETOKA

    ANOTINO vigezo vya form 6 kwa mwaka waliomalza shule ni kuanzia mwaka gan aisee
  5. M

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    ww ni op gan mkali?
  6. M

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    mh! no 1 knowz!!
  7. M

    Ni lini JWTZ wataajiri vijana wa JKT waliopo makambini kwa mwaka huu 2018?

    sawa! nachomaanisha ni kpind kile waliofanya usail wa jw wengi wao walikuwa washafanya usail pind tu walvyoenda kujenga ukuta ,jw wakaja kuchukua watu,je hakuna alyechaguliwaga kwenda koz ya jw lakn akawa yupo merelan!!
  8. M

    Ni lini JWTZ wataajiri vijana wa JKT waliopo makambini kwa mwaka huu 2018?

    HV miongon ya watu walioenda kujenga ukuta merelan hakuna waliochaguliwa kwenda kupga koz? je nahaowalioahdiwa ajira mwaka huu hawatoenda au
  9. M

    Mjadala: Je, ni siku zipi ambazo mwanamke huweza kupata ujauzito katika mzunguko wake wa kila mwezi?

    Asante sana Mr Google hapa ndo majibu tosha kama nikijitahid kujua mzunguko majibu ndo haya nakopy nakupest Tu!
  10. M

    Mjadala: Je, ni siku zipi ambazo mwanamke huweza kupata ujauzito katika mzunguko wake wa kila mwezi?

    google mm hvyo nashindwaga elewa kujua huu ni mzunguko wa cku 28 au 31, ningependa kujua kwa urahic,mfano ameanza kubleed tareh 25 mwez 6 na zkakata tarehe 28 hapo cku gan nikigusa nakuwa baba kijacho?
  11. M

    Mjadala: Je, ni siku zipi ambazo mwanamke huweza kupata ujauzito katika mzunguko wake wa kila mwezi?

    kama huwa anaingia kwenye tareh 25 kwa 26 itakuwaje,pia mm cjui kuhusu mzunguko nngependa nijue mfano kama ameanza kubleed tareh 25 AF zmekata baada ya cku nne hapo cku gan nikigusa nakuwa baba kijacho?
Back
Top Bottom