Sammo Hung
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 1,142
- 1,302
- Thread starter
- #41
Kwahiyo mwaka huu hakuna ajira za JWmbona taarifa ilishatoka kuwa hawaajiri kwa sababu hawajapewa fungu toka serikali kuu
Kwahiyo mwaka huu hakuna ajira za JWmbona taarifa ilishatoka kuwa hawaajiri kwa sababu hawajapewa fungu toka serikali kuu
Kwasasa JKT imekuwa ishu sana kupata nafasi, alafu ajira zenyewe pia hazielewekimiaka ya nyuma kuanzia 2012 kushuka chini kukuta form za JKT mtaani ni kitu cha kawaida saana ila sasa hivi ni ishu, sio hivyo tu bali hata ukienda huko JKT kupata ajira ni ngumu mnooo.
labda itokee kwa emergency ila mwakani ni uhakika zaidi sema kuna op kikwete waliobaki humo vikosini hii ndio itawaathiri zaidi ila kwa magufuli wataongezewa mkataba na hao wapya sijajua wanaitwaje(op merelani kama sijakosea) hao wana advantage kubwa zaidiKwahiyo mwaka huu hakuna ajira za JW
Sawa mkuulabda itokee kwa emergency ila mwakani ni uhakika zaidi sema kuna op kikwete waliobaki humo vikosini hii ndio itawaathiri zaidi ila kwa magufuli wataongezewa mkataba na hao wapya sijajua wanaitwaje(op merelani kama sijakosea) hao wana advantage kubwa zaidi
Laki 7Me naomba kujua mshahara wa pravate anayeanza kazi anakula ngapi
Jeshi haliajiri bali linaandikisha (enrol). Pale upanga utapata majibu sahihi bila chenga.Habari zenu wakuu..
Kama kichwa cha uzi huu kinavyojieleza, lengo langu ni kupeana taarifa kuhusu ajira za Jeshi la Wananchi wa Tanzania hususan kwa vijana waliopo kwenye kambi za Jkt na wameshamaliza mafunzo yao ya awali.
Kama kuna member yeyote humu ana taarifa sahihi au tetesi za jambo hili basi tujuzane.
Nawasilisha.
labda itokee kwa emergency ila mwakani ni uhakika zaidi sema kuna op kikwete waliobaki humo vikosini hii ndio itawaathiri zaidi ila kwa magufuli wataongezewa mkataba na hao wapya sijajua wanaitwaje(op merelani kama sijakosea) hao wana advantage kubwa zaid
i
VP kuhxu op kikwete waliojenga ukita wao c waliahidiwa kuajiriwa na wao ndo had mwakan au
waliokidhi vigezo wameenda CCP.HV miongon ya watu walioenda kujenga ukuta merelan hakuna waliochaguliwa kwenda kupga koz? je nahaowalioahdiwa ajira mwaka huu hawatoenda au
sawa! nachomaanisha ni kpind kile waliofanya usail wa jw wengi wao walikuwa washafanya usail pind tu walvyoenda kujenga ukuta ,jw wakaja kuchukua watu,je hakuna alyechaguliwaga kwenda koz ya jw lakn akawa yupo merelan!!waliokidhi vigezo wameenda CCP.
hakna aliyeenda jeshi la wananchi maana Kule kwa sasa hakuna kozi inayoendelea