mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 6,620
- 4,910
Wakuu ningependa kujua ni siku gani hatar kwa mwanamke kupata mimba kuanzia siku ya kwanza ya kubleed,.Mfano: kama ameingia hedhi mwez wa 5 tarehe 26, na mwezi wa 6 tarehe 25,Je siku yake/zake hatari za kushika mimba ni zipi/lini? Naomba Msaada wenu Wakuu?
Siku anayokasirika na kumpania mumewe.