Wakuu ningependa kujua ni siku gani hatar kwa mwanamke kupata mimba kuanzia siku ya kwanza ya kubleed,.Mfano: kama ameingia hedhi mwez wa 5 tarehe 26, na mwezi wa 6 tarehe 25,Je siku yake/zake hatari za kushika mimba ni zipi/lini? Naomba Msaada wenu Wakuu?