Mkuu hana bima hili nalo nilikua nataka nijue utaratibu maana tunapoteza pesa kiasi na uchumi si mzuri kwa kweli ukizingatia ni miaka kama miwili mtu anaugua hii ni kichomi kwa kweli .Pia nashukuru sana naomba maelekezo ya kwenda hapo FAME na wanapatikana wapi?
Habari wakuu naomba kujuzwa hili tatizo linatibika au ni namna gani linaweza kua solved
Historia fupi :
Mwenye tatizo hili ni dada yangu ameanza kuumwa tu bile kujua tatizo tangu mwaka 2019 mwanzoni kabisa alikua na tendemcy ya kuvimba vimba sehemu mbalimbali za mwili mara miguu,uso,mikono na...
Wakuu habari za wakati huu.. naomba mwenye kujua amabaye ataweza kunifanyia intergration ya Direct pay Online kwenye App na website yangu Nawasilisha mwenye kuweza anijuze tufanye kazi..
habari wakuu,
Naomba msaada kwa anayejua namna ya kufanya intergration ya payment gateways za hawa pesapal katika hii project iliyokua developed kwa laravel nawasilisha kwa mwenye kujua msaada wako katika hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wakuu bila shaka ni wazima wa afya nina suala moja hapa linaniumiza kichwa na kukwamisha project yangu nimeandaa nimeandaa platformya e-commerce utendaji kazi wake ni ule ule wa ALIEXPRESS kwa maana amekusanisha stores and viwanda mbalimbali kuweka bidhaa zao katika website yake...
==> Anzisha Mitandao kama Uber, Tala, Airbnb, Amazon, Zidisha, Makazi, Jumia, Brightermonday...Upate Kuwa na Competitive Edge na Utoboe Kiufanisi Zaidi
------------------------------------------
1. Platform kuu kuuza mazao nchi nzima = hapa naamaisha kuwepo kwa platform ambayo wauzaji nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.