crusader_jr
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 994
- 846
Wakuu habari na pole na majukumu kwa mara nyingine tena narudi kwenu kwa mafundi na wajuzi wa IT.
Nna simu aina ya redmi note5 chinese rom yenye android ver.9 muiu10, iyo simu nlirestore kwa bahati mbaya na password za account ya mi cloud nimezisahau na pia namba ya simu nlotumia kutengenezea account ilishafungiwa pamojanna ivo bado laini nlipoteza.
Sikuweka recovery email wal phone kwa wakati ule natengeneza mi account
Naomba kuuliza kama kuna mtu anaweza itengeneza maana ishagoma kuflashika wala kubypass frp kwa ataekua na njia nyingine tafadhali tuwasiliane PM
Samahani kwa andiko kubwa na karibuni pia kwa msaada pia
Nna simu aina ya redmi note5 chinese rom yenye android ver.9 muiu10, iyo simu nlirestore kwa bahati mbaya na password za account ya mi cloud nimezisahau na pia namba ya simu nlotumia kutengenezea account ilishafungiwa pamojanna ivo bado laini nlipoteza.
Sikuweka recovery email wal phone kwa wakati ule natengeneza mi account
Naomba kuuliza kama kuna mtu anaweza itengeneza maana ishagoma kuflashika wala kubypass frp kwa ataekua na njia nyingine tafadhali tuwasiliane PM
Samahani kwa andiko kubwa na karibuni pia kwa msaada pia