Hivi jamani ni halali kutangazwa mabadiliko ya noti bila ya kuwepo ukomo wa zile za zamani kutumika? Nakumbuka noti za 100 tulipewa ukomo lakini kipindi hiki kila aina ya noti ilimradi unayo unaweza kununulia kitu mfano kuna 2000 na 5000 za aina mbili, je hii kitu haishushi uchumi wa nchi? Maana...
Dah kwakweli huu Uzi ni wa msingi sana kwangu maana nilimuona Jamaa anazifyatua kwake na kamashine ka mkono na Mimi nimetamani nifyatue za kujengea fance but sikuwa na uhakika wa uhimara wake kama zitakuwa sawa na zile za mashine.
Watanzania na Waafrica ni wabinafsi na uongozi kwao ni sehemu ya kutajirika na tendo la kuwajibika kwa manufaa ya nchi sio sehemu yet. Hilo ndilo tujifunzalo
Tatizo la nchi yetu kwa sasa ni kila jambo kuchukuliwa juu juu na rahisi, pia mtu au watu wanavunja sheria kwa kujiamini sana. Hatuna tena misingi ya kufuata sheria kwani inachukulia kama kitabu au muongozo wa mfano tu.
Thanks mkuu maana nilikuwa nahangaika kuipata walau niipitie nione kama yale ya msingi yamezinfatiwa? Na si kubase kwa wanayosema wanasiasa tu. Tuisome ili tuamue.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.