Tahadhari kwa wanaume tulio na tabia hii

Tahadhari kwa wanaume tulio na tabia hii

Mapengo 17

R I P
Joined
Mar 28, 2014
Posts
1,228
Reaction score
618
Habari za leo wanajamvi,

Kuna marafiki zangu mara kadhaa wamewahi kuniambia kuwa kwa mwanaume ukikalia waleti kwenye kiti au kwenye gari kwa muda mrefu unaweza kupata matatizo ya mgongo sasa naomba kuuliza kuwa hili suala lina ukweli gani?

attachment.php



Na kama kuna athari kama hizi tiba yake ni ipi tofauti na kuacha kukalia waleti zetu?
 

Attachments

  • Waleti.jpg
    Waleti.jpg
    39.6 KB · Views: 4,185
Wanaume wa Kitanzania sijui km bado wanatumia Wallet
kwanza pesa za kuweka humo na kuhesabu kifahari hatuna
pesa nyingi tunaweka kwenye simu
Wallet haichakazi pesa lakin bora kuzikunjakunja kwa kuzitawanya kila mfuko na soksi kwani itasaidia wanaokudai wajue huna kitu.
ni uongo huwezi athiri mgongo kwani kuna watu wanaendesha malori na mabasi ya long-safari kwa kukalia mito au viti vibovu vyenye manundu na wako salama
 
Inawezekana position inayokaaga wallet ndio tatizo, meaning unakaa kwa kupinda na sio upright, inawezekana ndio sababu yaani jinsi watu wanavyokaa.
 
Nashukuru mleta hii mada japo sina cha kuprove ila nimeichukua na Mimi naacha kukalia wallet maana binafsi naona kuna kaukweli hapo.
 
Tatizo waleti nikiweka mfukoni hasa wa nyuma kwenye daladala za kwetu mbagala gongo la mboto kuibiwa ndio maana siipendi walet ukiibiwa umeibiwa vyote.

sio mtumiaji wa waleti.
 
Kuna,ukweli hapo, madhara yake huwezi ona kwa muda mfupi, kwani kukalia walet lazima ukae upande upande, ni ukiangalia huo mchoro ,utaona kuna uwezekeno.
 
Back
Top Bottom