Recent content by Mstaarabu wa ukwee

  1. M

    Nimfanyaje huyu binti?

    Wa kumtafuna??🤣
  2. M

    Nimfanyaje huyu binti?

    Tulifahamiana kimasihala tu kwa lengo la kumsaidia kupata kazi sasa sijakamilisha mchakato wa kazi ila anajiletaa, Nikila mzigo na kazi asipate silawama hizi?
  3. M

    Ni wakati sasa benki zitanue 'ukomo' wa kutoa pesa kwenye ATMs, milioni moja haitoshi

    NBC BANK unaotoa mpaka 1.5M na kuna baadhi ya akaunti unatoa hadi 3M
  4. M

    House4Rent Nyumba nzima inapangishwa Kimara Mwisho Tzs. 200,000/= kwa mwezi unaweza kulipa mpaka miezi mitatu

    Kama unaiona mbaya uliingia kufanya nini ulipoona inapangishwa laki mbili au ulitaka nyumba ya laki mbili iwaje tofauti na hiyo?....ngoja nikuache boss usije sema dharau tena!!!!
  5. M

    House4Rent Nyumba nzima inapangishwa Kimara Mwisho Tzs. 200,000/= kwa mwezi unaweza kulipa mpaka miezi mitatu

    Ww ndio umeleta dharau kwenye nyumba ya mwenzako hata kama ni tajiri kauli ulizotumia SI SAWA
  6. M

    House4Rent Nyumba nzima inapangishwa Kimara Mwisho Tzs. 200,000/= kwa mwezi unaweza kulipa mpaka miezi mitatu

    Utakuta unaongea hiv bado unakaa kwa dada yako afu unalopoka tu...nyambafuu
  7. M

    Ni kwanini watu waliopata daraja la 3 na 4 sekondari wana mafanikio katika maisha kuliko wale wenye 1 na 2

    "To fail in class is not fail in life" "To fail in class is not to fail in life" Adolf Hilter
  8. M

    Nataka kuanza Biashara ya duka la rejareja msaada ushauri

    Hbr ndugu. Nimeshalipa frame sehemu ambayo imechangamka na haina maduka mengi ya mtindo huo. Naomba ushauri mtaji wangu si mkubwa sana ni vitu gani vya muhimu vinavyotoka sana ili nianze navyo? Lakini pia ushauri wowote unao ona utanifaa ili nijikongoje mdogo mdogo. NB Naomba ushauri pia juu...
  9. M

    What's the story: Ulipataje kazi unayofanya au uliyowahi kufanya?

    Umesoma wapi jinsi mpk unasema bidada!!?
  10. M

    Msaada natafuta kazi yeyote jijini Mwanza, Nimehitimu Chuo cha Usafirishaji NIT

    Asante sana kwa kujali mkuu ila bodaboda siwezi kuendesha
Back
Top Bottom