Tulifahamiana kimasihala tu kwa lengo la kumsaidia kupata kazi sasa sijakamilisha mchakato wa kazi ila anajiletaa, Nikila mzigo na kazi asipate silawama hizi?
Kama unaiona mbaya uliingia kufanya nini ulipoona inapangishwa laki mbili au ulitaka nyumba ya laki mbili iwaje tofauti na hiyo?....ngoja nikuache boss usije sema dharau tena!!!!
Hbr ndugu.
Nimeshalipa frame sehemu ambayo imechangamka na haina maduka mengi ya mtindo huo.
Naomba ushauri mtaji wangu si mkubwa sana ni vitu gani vya muhimu vinavyotoka sana ili nianze navyo?
Lakini pia ushauri wowote unao ona utanifaa ili nijikongoje mdogo mdogo.
NB
Naomba ushauri pia juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.