[emoji3] [emoji3] [emoji3] Cwez kuhangaika na mawazo yako , kwanza ushaingiza siasa kwnye jambo la msingi . Kama unaona heshima inatafutwa kwa hayo yaliyosemwa na mh. Waziri basi sawa , siwezi kukulazimisha uache kula unga wa ndeleee toka kwa mflme Juha[emoji120]
Diplomacy imeshindikana ? Mbona kama waziri kaongea kwa kukurupuka bila hata kujaribu kufikiria kauli zake zinaweza declare war , kwani hamna nchi wala serikali inaweza acha wananchi wake wafanyiwe vitendo vya kinyamaa namna ambavyo mh. Waziri amaesema .... HATUWEZI KUPINGA MAUAJI KWA KUFANYA...
Truth Gives Power ... This is too deep sister Caroo . Not only that , but also hao wanaojikuta wana nguvu ya kuonea wanyonge ni watu ambao tunaishi nao , kwa kutuzidishia chuki dhidi yao kwa maelezo kutoka kwa wakubwa , it will cst them piaa , we are all human being , inachosha na tumechoka...
Kutoka kwa Nguli wa sanaa Tanzania; Mswahili VITALI MAEMBE.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
Dk Harrison Mwakyembe Unazidi kunitia Aibu!
Mtu Mzima: Guitar Man!
Vitali Maembe: Hi!
(Eti namimi nikajikuta nimeitikia tu kama
Mzungu)
Nilivyoongea tu akagundua sio wa kwao...
Yani msiba wa kitaifa kama huu , mnaacha kuonyesha mnakalia kutoonyesha bunge ambalo mnauwezo wa kurekodi kama mnavyosemaga . Shame on you TBC . Na hata bunge hilo kuahirisha kikao cha siku moja mmeona kazi sanaa kazi kusutanaa. Mna mioyo ya namna gani ninyi ..
Kila nikijaribu kufikiria , kuwa askari wa Tz ni wa kupiga tu ,Napata shida kuamin kama mdogo wetu huyu kwenye picha hii ameweza kuamka leo na kwenda shule . Kwanza yeye pekee yake lkn angalia walivyomzingira □□□ . Unadhani kwa kipigo atachopata ataweza kuamka salama kweli ? Au anaweza hata...
*
Sisi kama wa Tanzania, tumejikwaa kiakili na kimtazamo pale tulipodhani Mapinduzi pekee na ya mwisho ni yale yaliyofanyika Zanzibar miaka kadhaa iliyopita.*
*Mtizamo huu kwa kiasi kikubwa umetuathiri sana, umeweka ukomo wa kufikiri, tumesahau Kuwa Mapinduzi ni lazima yaendelee, tumebaki...
Hali imekuwa ngumu sana jaman , mpaka wengine tunakumbuka mbegu zetu za kipindi kile . Basi msikope, simlichukua za kwetu mkasema mtazipandaa , au siyo nyie mlitunyang'anya zetu jamani , mpaka leo hazijazaa tu ?
Haya bhana kila la kheri [emoji124] [emoji124] [emoji124]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.