Recent content by Msororo

  1. M

    Mzee Butiku: Tarehe 13/04/2022 Mwalimu Nyerere atatimiza miaka 100 tangu kuzaliwa kwake!

    Kwa kuwa fikra na mafundisho yake bado yanaishi hadi sasa na hapo miaka ya baadaye, ni sahihi kusema anafikisha miaka 100 kwa sababu sehemu yake bado inaishi.
  2. M

    Tunaanza na Tume Huru Kwanza

    Hiyo sheria ya kuiunda hiyo Tume huru itatungwa na Bunge gani kama sio hili hili. Kama mnaliamini kwa sheria iwe hivyo kwa katiba Mpya. Nifikiliavyo mimi katiba ikimuondolea Rais hayo manguvu na kuhakikisha check and balance ya uhakika automatic Tume huru itakuwa imejitengeneza.
  3. M

    Kama Chairman Mbowe hana kosa mbona Mnyika alimtuma Zitto kwenda kumuombea msamaha?

    Usichoelewa nini? Mbowe na Mnyika wanaitaka TCD kueleza kuwa kesi imekaa kisiasa ifutwe. Hawajataka ukaombwe msamaha kama anavyotafasili aliyepewa taarifa. Ajue haombwi msamaha bali anakumbushwa kufua kesi haina tija. Ndivyo nilivyoelewa. Pia Lisu anatoa jibu kwa mwenye dhana ya msamaha hayupo...
  4. M

    Nape Nnauye: Maamuzi ya CHADEMA kuwafukuza Uanachama Wabunge wake 19 (COVID-19) yaheshimiwe, hawatakiwi kuwepo Bungeni

    Zito, Kafulila na Hamad Rashid walilindwa na Mahakama si spika. Mahakama za Tanzania wakati huo zilijimaliza wenyewe ndio maana kwa mara ya kwanza hakuna kesi ya uchaguzi iliyofunguliwa na chadema. Aibu kwa Mahakama zetu.
  5. M

    Dkt. Bashiru Ally kuwa tena Katibu Mkuu wa CCM?

    Hata asipojiuzuru hakuna ubaya. Mzee Makamba aliwahi kuwa mbunge na katibu mkuu wa CCM. Nafikiri hata Kolimba
  6. M

    CHADEMA na baadhi ya wezi wa rasilimali zetu wanampa sifa nyingi Rais Samia ili kuhalalisha uongo waliokuwa wakizusha dhidi ya Hayati Dkt. Magufuli

    Nikionacho kwenye bandiko lako ni kuwa umetumia ufundi wako wa lugha kumnanga marehemu. Mungu kaliokoa taifa
  7. M

    Paschal Mayalla leo anaponda utawala wa Hayati Magufuli

    Pia mama kapuuza kuwapa viwanja wachezaji wa kiume kwa kufunga goli Musi fainali na si kuchukuwa kombe. Wanawake wamechukuwa makombe matatu hata kutajwa tu hawakutajwa.
  8. M

    Salamu ya Rais Samia Suluhu 'Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano' ni salamu bomba sana

    Hata akimaliza salamu zote za Kirini na hiyo iwemo. Cha muhimu ni kuitafutia kiitikio.
  9. M

    Salamu ya Rais Samia Suluhu 'Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano' ni salamu bomba sana

    Nakubaliana nawe ila tuitafutie kiitikio chake. Mimi napendekeza tuitike hivi. "Mungu tujaalie tuijenge nchi yetu"
  10. M

    Makamu wa Rais wa Zanzibar mstaafu na Rais wa JMT mstaafu kiitifaki imekaaje?

    Kama niliwahi sikia akitambulishwa kama spika wa Baraza la wawakilishi Zanzibar
  11. M

    Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba awajibu TLS kuhusu Rais Samia Suluhu kuteua Baraza jipya la Mawaziri

    Nchi haiendeshwi kwa taratibu za kimila. TLS wao wamehadharisha tu muwe makini msikurupuke. Si mara moja uongozi uliopita umekuwa ukikiuka katiba au anataka iwe mazoea? Mliwahi kuteuwa wabunge wa kiume wengi zaidi ya wanawake. Wanaharakati na wapinzani waliwashitukia na kuteka katiba ifuatwe...
  12. M

    Upinzani utapata nguvu zaidi na huenda ukawa mwisho wa CCM

    Bandiko lako lanikumbusha kisa kimoja nilisimuliwa nikiwa mdogo. Mandhari ya kisa hicho ni usukumani huko. Katika kijiji au Mjibu mmoja lilitokea zimwi lililoitwa Shing'weng'we zimwi hilo lilikula watu wote na kumbakiza mama mmoja tu mjamzito aliyefanikiwa kujificha kwa Kudra ya Mungu. Mama...
  13. M

    Deodatus Balile: Afya ya Rais si jambo la siri wala siasa

    Kumbe wewe umefahamu hana uwezo wa kutoka kuwadhihirishia wapiga kura wake kuwa yupo salama na wapuuze uzushi.
  14. M

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

    Treason kwa sheria ipi sasa. Kama haumwi na hajafa si ajitokeze. Ateuwe na kuapisha mtu mara moja tu wazushi wote chali !! Nini kinashindikana
  15. M

    Kwanini Serikali isimkamate Maria Sarungi na kundi lake?

    Bora wewe umejitokeza kusema kuwa Jiwe lililorushwa gizani limefanya maangamizi. Dada huyu ni shujaa hasa. Katumia taaluma yake kupambana na uovu kwa kuuangaza na kujuza umma Kipindi hiki cha kuficha habari na kujipendekezaa. Kwa kweli taarifa zake hunifanya niupe kazi ubongo wangu...
Back
Top Bottom