Upinzani utapata nguvu zaidi na huenda ukawa mwisho wa CCM

Shift

JF-Expert Member
Oct 3, 2014
1,078
2,148
Namuona Lissu akirejea nchini, namuona Lema utabiri wa Lema ukiwa umetimia.

Naona shughuli za kisiasa zikirejeshwa, Katiba Mpya ikiwa njiani kurejeshwa. Kuna dalili bungeni kuibuka mtifuano wa Akina Waitara, Silinde, Polepole vs CCM asilia.

Nawaona masheikh wa uamsho wakiachiwa

Namuona Mzee wetu na Seth wakitolewa gerezani

Naona uchunguzi wa vifo vya utata Na mashambulio yakichunguzwa

Naona serikali ya umoja wa kitaifa.

Kwa mbaali naiona Tanzania mpya
 
Upinzani uwe makii sana ndani ya muda huu mfupi, sio lissu wala yeyote yule kuna ile huruma ya watanzania, kama watacheza karata zao kwa nia ya kuendelea kuongea mabaya ya jpm au hata kumgusa tu basi watapuuzwa vibaya mno kwa kigeuziwa kibao.
waongee hoja watafanya nini na sio kuponda vya jpm.
 
Upinzani uwe makii sana ndani ya muda huu mfupi, sio lissu wala yeyote yule kuna ile huruma ya watanzania, kama watacheza karata zao kwa nia ya kuendelea kuongea mabaya ya jpm au hata kumgusa tu basi watapuuzwa vibaya mno kwa kigeuziwa kibao.
waongee hoja watafanya nini na sio kuponda vya jpm.
Watamufanya kama rejeo
 
Bandiko lako lanikumbusha kisa kimoja nilisimuliwa nikiwa mdogo. Mandhari ya kisa hicho ni usukumani huko.

Katika kijiji au Mjibu mmoja lilitokea zimwi lililoitwa Shing'weng'we zimwi hilo lilikula watu wote na kumbakiza mama mmoja tu mjamzito aliyefanikiwa kujificha kwa Kudra ya Mungu.

Mama yule alipojifungua, ulipata mtoto wa kiume. Alimlea na kukua vizuri. Mtoto alipopata uwezo wa kutafakari alimuuliza mama yake kwanini wapo wawili tu? Mama alimsimulia kisa chote yule mtoto.

Baada ya kupata taarifa zile mtoto aliapa kumsaka zimwi yule na kummaliza. Mama alimkataza mwanaye bila mafanikio. Kijana alitengeneza silaha za jadi imara na kuziimarisha alizozikuta na kujifunza kuzitumia pia.

Kijana yule alikuwa kila akiuwa mnyama anakwenda kumuonesha mama yake huku akiimba "Mayo mayo namulago Shing'weng'we, amalila bhanu Shing'weng'we " mama yake ulifika na kumwambia siyo.

Kijana aliendelea hivyo mpaka siku alipo likuta zimwi lenyewe. Mpambano ulikuwa mkali sana. Kwa tabu sana na uwezo wa Mungu kijana alishinda na kulipwa zimwi. Alimuita mama yake na kuthibitisha kuwa ndio Shing'weng'we. Kijana alianza kulikatakata.

Kwa ajabu walianza kutoka watu waliomezwa na Shing'weng'we wakiwa hai na Furaha tele huku wakimpongeza kijana yule pamoja na mama yake.
 
Bandiko lako lanikumbusha kisa kimoja nilisimuliwa nikiwa mdogo. Mandhari ya kisa hicho ni usukumani huko.
Katika kijiji au Mjibu mmoja lilitokea zimwi lililoitwa Shing'weng'we zimwi hilo lilikula watu wote na kumbakiza mama mmoja tu mjamzito aliyefanikiwa kujificha kwa Kudra ya Mungu.
Mama yule alipojifungua, ulipata mtoto wa kiume. Alimlea na kukua vizuri. Mtoto alipopata uwezo wa kutafakari alimuuliza mama yake kwanini wapo wawili tu? Mama alimsimulia kisa chote yule mtoto.
Baada ya kupata taarifa zile mtoto aliapa kumsaka zimwi yule na kummaliza. Mama alimkataza mwanaye bila mafanikio. Kijana alitengeneza silaha za jadi imara na kuziimarisha alizozikuta na kujifunza kuzitumia pia.
Kijana yule alikuwa kila akiuwa mnyama anakwenda kumuonesha mama yake huku akiimba "Mayo mayo namulago Shing'weng'we, amalila bhanu Shing'weng'we " mama yake ulifika na kumwambia siyo.
Kijana aliendelea hivyo mpaka siku alipo likuta zimwi lenyewe. Mpambano ulikuwa mkali sana. Kwa tabu sana na uwezo wa Mungu kijana alishinda na kulipwa zimwi. Alimuita mama yake na kuthibitisha kuwa ndio Shing'weng'we. Kijana alianza kulikatakata. Kwa ajabu walianza kutoka watu waliomezwa na Shing'weng'we wakiwa hai na Furaha tele huku wakimpongeza kijana yule pamoja na mama yake.
Aisee, I pray Ben Saa8 could come back
 
Bandiko lako lanikumbusha kisa kimoja nilisimuliwa nikiwa mdogo. Mandhari ya kisa hicho ni usukumani huko.
Katika kijiji au Mjibu mmoja lilitokea zimwi lililoitwa Shing'weng'we zimwi hilo lilikula watu wote na kumbakiza mama mmoja tu mjamzito aliyefanikiwa kujificha kwa Kudra ya Mungu.
Mama yule alipojifungua, ulipata mtoto wa kiume. Alimlea na kukua vizuri. Mtoto alipopata uwezo wa kutafakari alimuuliza mama yake kwanini wapo wawili tu? Mama alimsimulia kisa chote yule mtoto.
Baada ya kupata taarifa zile mtoto aliapa kumsaka zimwi yule na kummaliza. Mama alimkataza mwanaye bila mafanikio. Kijana alitengeneza silaha za jadi imara na kuziimarisha alizozikuta na kujifunza kuzitumia pia.
Kijana yule alikuwa kila akiuwa mnyama anakwenda kumuonesha mama yake huku akiimba "Mayo mayo namulago Shing'weng'we, amalila bhanu Shing'weng'we " mama yake ulifika na kumwambia siyo.
Kijana aliendelea hivyo mpaka siku alipo likuta zimwi lenyewe. Mpambano ulikuwa mkali sana. Kwa tabu sana na uwezo wa Mungu kijana alishinda na kulipwa zimwi. Alimuita mama yake na kuthibitisha kuwa ndio Shing'weng'we. Kijana alianza kulikatakata. Kwa ajabu walianza kutoka watu waliomezwa na Shing'weng'we wakiwa hai na Furaha tele huku wakimpongeza kijana yule pamoja na mama yake.

Na mimi niliwahi kusimuliwa hii hadithi na marehemu bibi
 
Upinzani uwe makii sana ndani ya muda huu mfupi, sio lissu wala yeyote yule kuna ile huruma ya watanzania, kama watacheza karata zao kwa nia ya kuendelea kuongea mabaya ya jpm au hata kumgusa tu basi watapuuzwa vibaya mno kwa kigeuziwa kibao.
waongee hoja watafanya nini na sio kuponda vya jpm.

Amna cha umakini..... Nani analitaka dubwasha ccm...
Tundu Lissu ndo rais tuliyemchagua watz
 
Upinzani uwe makii sana ndani ya muda huu mfupi, sio lissu wala yeyote yule kuna ile huruma ya watanzania, kama watacheza karata zao kwa nia ya kuendelea kuongea mabaya ya jpm au hata kumgusa tu basi watapuuzwa vibaya mno kwa kigeuziwa kibao.
waongee hoja watafanya nini na sio kuponda vya jpm.

Tunataka haki wala hatuhitaji huruma ya mtu
 
Back
Top Bottom