JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania
Mkopo dar es salaam
Heshima yenu wakuuu,,,,, Mimi ni Mt
umishi Wa serikalini
naomba kwa anaejua anisaidie mahali pakukopa laki nne kwa riba taacha Laptop(PC) yangu .Ntailudisha tarehe kama hii mwezi ujao
.
Naombeni mnisaidie natanguliza shukrani zangu za zati.