Heshima yenu wakuuu,,,,, Mimi ni Mt
umishi Wa serikalini
naomba kwa anaejua anisaidie mahali pakukopa laki nne kwa riba taacha Laptop(PC) yangu .Ntailudisha tarehe kama hii mwezi ujao
.
Naombeni mnisaidie natanguliza shukrani zangu za zati.
Habari ya jumapili?
Wandugu katika pita pita yangu Twitter nimekutana na watu wanajiita branch wanakopesha online baada ya kuinstore apple yao lakini wanatoa kwa laini ya Vodacom tu kwa Tanzania wanavo dai na Kenya kwa safaricom
Je hiii inshu ni yaukweli au matapeli wakuu.Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.