Recent content by msomaji J

  1. M

    msaada matokeo ya jokuCo bukoba.

    matokeo tayari jumla ya waliochaguliwa jokuco ni 241
  2. M

    Lini kwenda vyuo vikuu 2014/2015

    :A S-confused1::A S-key:OCTOBA
  3. M

    Chuo kikuu josiah kibira bukoba na mazingira magumu

    UISO ndo lecturer anayekubalika. Tofauti na wengine wanaowafanyia unyama wanafunzi kwa kuwafelisha.Mungu ambariki
  4. M

    Chuo kikuu josiah kibira bukoba na mazingira magumu

    Futa kauli,kupangiwa dsm hakumaanishi kuwa mtu fulani anaakili sana.chukulia aliyemaliza form four mwenye division III-25 Then form six akapata I-7 au form 4 kapiga freshe afu form 6 kashuka.
  5. M

    Chuo kikuu josiah kibira cha bukoba kimejaa ujinga na ukabila

    Kuanzia uongozi wa juu wa chuo kuja chini wamejaa wahaya tuu.jambo linawatesa wanachuo kwa kutopata mahitaji yao kwa wakati mwafaka,kwani wanafanya mambo bila kujali wakijua kuwa hakuna atakaye wachukulia hatua yoyote.kisa ni undugu na ukabila[tuseme wanalindana]
  6. M

    hivi bord ya mikopo inataka wanachuo waandamane kwanza ndio watoe boom?

    Pesa zinapochelew watoto wanaathirika kwa kujihusisha na ukahaba bila kupenda
  7. M

    Diwani kata ya MAGARA iliyoko wilaya ya BABATI ashindwa kuleta maendeleo

    Tangu ufanyike uchaguzi mkuu 2010 diwani huyu aitwaye Mwl Juma,amekuwa akipiga propaganda kwa kuwahadaa vijaa na kukaa nao vijiweni.Kimsingi alitakiwa ahamasishe vijana kufanya kazi.Pia katika kata hiyo ya MAGARA kumekuwa na wimbi la majambazi tatizo linalofanya watu waishi bila amani.
  8. M

    Ukweli kuhusu Udsm huu hapa

    huko Udsm tatizo mmedekezwa.ili mtu afanye UE sharti afikishe 16 ktk course work, UE 40 na hiyo ipo tofauti na vyuo vingine kama SAUT,MWENGE na MAKUMIRA ambapo huingia UE wakiwa na course work ya alama 20 afu UE alama 50. Nashangaa kusikia kuwa Udsm suplementary ni nyingi wakati vyuo vingine ni...
  9. M

    hivi bord ya mikopo inataka wanachuo waandamane kwanza ndio watoe boom?

    pesa zimeliwa na ukawa ambalo halikuwahi kupangiwa hata bajeti,tatizo la watanzania ni wakurukaji wa kuanzisha mambo mfano bunge la katiba kitu ambacho kinawasababishia wengine majanga.Mungu wabariki wanavyuo na tz
  10. M

    GPA SYSTEAMAa

    Inakuwaje TCU iwanawapa uhuru vyuo vikuu hapa nchini kujipangia kuwa PASS ianze na kuendelea? Mfano mahususi ni vyuo vya watu binafsi kama SAUTI,JOSIAH KIBIRA NA MAKUMIRA ambapo 'C' HUANZA NA 50 angali wakijua kuwa hawana resourse za kutosha kuhakikisha kuwa wanafunzi wanafikia alama hizo za...
  11. M

    Sakata la boom vyuo vikuu mwanafunzi adondoka darasani.

    Mungu amnusuru na jang la booom maana hata josiah kibira nako ni majanga tu
  12. M

    Ziwa Manyara chanzo cha mapato kata ya Magara

    Kipindi hiki cha masika watu wamiminika kwenda ziwani kutafuta samaki ili kujipatia kipato hasa akina mama kutoka vijiji mbalimbali
  13. M

    Chuo kikuu josiah kibira bukoba na mazingira magumu

    Tumechoka na migomo ya kila siku
  14. M

    Chuo kikuu josiah kibira bukoba na mazingira magumu

    Tcu tunaomba mtusaidie maana hapa tunapata hali ngumu ya kitaluma,no quality of library na mengineyo mengi
Back
Top Bottom