Recent content by Msolid boy

  1. M

    PreGE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

    Kwanini siasa ni sayansi? Kwasababu inahusisha ukusanyaji wa taarifa,uchakataji....na.... .' .divide and rule system.
  2. M

    Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

    Ilibidi katika hao marafiki aliokuja nao,ujichagulie mzuri zaidi yake.Ungejilia mema ya nchi.
  3. M

    Secret service wanaweza kuwa washirika kwenye jaribio la mauaji ya Donald Trump

    Kwanini wamu waishe kaburini ikiwa ali hitajika aje atoe maelezo ya walio mpa kazi ni akina nani?. Huoni kama kuna kitu kipo nyuma ya pqzia mkuu?
  4. M

    Secret service wanaweza kuwa washirika kwenye jaribio la mauaji ya Donald Trump

    uwenda ikawa ni scene iiyo planiwa kwa kila hatua, ili T apate kura nyingi hasa zile za huruma. Kuna wapiga kura watakao ingia kwenye mtego wa kujiuliza "kwa nini T ameshambuliwa"?,uwenda ana kitu cha kutufikisha kwenye asali tumpe yeye"
  5. M

    Wimbo wa Perfume wa Joslin ulitengenezwa na nani?

    Kwa upande wangu naona Joselyn ndiye alie wafunika wote, alafu akafuatia Bayser.
  6. M

    Wimbo wa Perfume wa Joslin ulitengenezwa na nani?

    Nilimnyooshea mkono kwenye verse aliyo iimba kwenye wimbo wa Abubakari Mzuri "samahani dada" Jamaa alikuwa na hatari.
  7. M

    Karibuni Songea

    Niliishi jirani na S/m Misufini. Zaidi ya miaka 10 niliishi Songea. Buhemba (ndani ya shimo)ilikuwa ya moto sana.Pia majimaji na Deluxe, Ndiyo yalikuwa maeneo ya kujidai. Hadi naondoka msanii maarafu alikuwa Zed M, Salatoga na Pablo killer. Sijajua muendelezo wao. Nimekumbuka Pitiku na...
  8. M

    Nimetoka ukweni Kigoma, ila kama hii ndiyo aina ya wazee acha wabaki na watoto wao!

    Pole sana kiongozi, umepata baba mkwe mkoloni sana.Ana tabia zote za Wazee Wa zamani. Baba mkwe wako,kasimamia misingi ya Mila na tamaduni za kwao. Kimsingi ulikosea ulipo Anza kukaa na Binti Yao kienyeji,Hadi kufikia kumpa ujauzito , akaenda kujifungulia kwao(pasipo wewe kujurikana), akaja...
  9. M

    Kuwapiga wanawake hivi sio sawa hata kama ni wezi

    Aisee! wote mnao watetea hamjawahi kupigwa tukio na wezi,tena wa jinsia yá Kike. Binafsi,walinisafishia pesa zote za kwenye droo,baada yá kuwaamini kupitia muonekano wao na jinsia Yao. Kosa nililofanya ni kuwa ruhusu wajaribishe suti walizo zihitaji ndani yá duka.Nami kuwapa mgongo.Ili...
  10. M

    Pengo la Langa limezibwa na Dizasta Vina

    Mkuu, hakuna chakuogopa hapo! Mbona Nyimbo baadhi nilikuwekea. Alizo imba na kushirikishwa. Nilikuuliza kama Langa angekuwepo hai na anaendelea kuimba je angekuwa anatoa Nyimbo za kiwango gani cha content?na Bora Kiasi gani katika mziki wa Hip Hop? Kwa kusikiliza tu Nyimbo 3 nilizo zitaja...
  11. M

    Pengo la Langa limezibwa na Dizasta Vina

    Mkuu, ata mziki wa zamani ulikuwa na vina pamoja na ujumbe uliotukuka Kwa wakati wake na hadi sasa. Ndiyo maana nikajaribu kukuwekea baadhi ya vizazi kulingana na muda wao. Japo kuwa Kuna vizazi vya muda wote (mazingira yanapo badirika nao wanabadirka). Langa hawezi kufanishwa na Dizasta...
  12. M

    Pengo la Langa limezibwa na Dizasta Vina

    Jamaa inabidi asikilize mziki wa zamani(kina Sugu Pro Jay ,mtoto wa dandu na Dudu baya) aje na kipindi cha kina(Jay moe, Fa, Ngwea, Langa,A Y n.k) Alafu aje pia kipindi chakina(Chid benzi, Joh makini,Rado, Cp n. K). Asisahau na kina(Godzilla,Young d,Dogo janja). Amalize na kina(Darasa...
  13. M

    Pengo la Langa limezibwa na Dizasta Vina

    Ukitaka hivyo, jaribu kuangalia! 1:Wakati wa Langa mziki ulikuwaje? 2:Langa agekuwepo na angekuwa anachana Bado mziki wake ungekuwaje? 3Matukio Gani yalitokea na vyanzo vya Upatikanaji wa taarifa ulikuwaje ilikutengeneza content nzuri? 4:Mapromota, DJ's media zilihitaji mziki ya aina gani...
  14. M

    Pengo la Langa limezibwa na Dizasta Vina

    Mkuu! umesoma vizuri kwenye Aya ya pili lakini?. Nimejaribu kuweka usanii kidogo, ila Hizo code zinaeleweka mzee.
  15. M

    Pengo la Langa limezibwa na Dizasta Vina

    Okay, japo kuwa sikuwahi kuona codes ngumu kwenye hiyo nyimbo. Msanii ana lengo la kufungua akili watu, ili watu watambue usiri uliopo kwenye kira jambo/tukio(nyuma ya pazia) hasa kwa 3rd countries Ndiyo maana kaonyesha, 1:Tabaka la walio nacho na wale wasio nacho. 2:Ufinyu wa uhuru...
Back
Top Bottom