Jamaa inabidi asikilize mziki wa zamani(kina Sugu Pro Jay ,mtoto wa dandu na Dudu baya) aje na kipindi cha kina(Jay moe, Fa, Ngwea, Langa,A Y n.k)
Alafu aje pia kipindi chakina(Chid benzi, Joh makini,Rado, Cp n. K).
Asisahau na kina(Godzilla,Young d,Dogo janja).
Amalize na kina(Darasa...