Recent content by msocial

  1. msocial

    JamiiForums Tanzania Msaada credit card ya kianzio kidogo

    [emoji15] [emoji15] [emoji15]
  2. msocial

    JamiiForums Tanzania Msaada credit card ya kianzio kidogo

    Habarini wadau, naomba msaada ni benki gani inatoa credit card kwa kianzio kidogo mfano TZS50000-200000. niliuliza DTB nikaambiwa laki tano.
  3. msocial

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Prison break season 5 updates

    eztv.ag search prison break, chukua HDTV 250-300MB ni zaidi ya HD, ukimaliza njoo useme Ahsante kaka
  4. msocial

    JamiiForums Tanzania Part time Job available

    in which number?
  5. msocial

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kuelekezwa beach nzuri za Bagamoyo za bure au za kulipia nikapunguze mawazo

    Acha uswahili...kubali kuwa ulichemsha, brand name ni jina ambalo linajulikana kwa watumiaji, generic name inajulikana kwa wafamasia... Gentamycine na Garamycin yote ni generic na brand names at the same time. Punguza uswahili wewe...tatizo ulifikiri nimechapia kuandika stelles Kumbe nimeandika...
  6. msocial

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kuelekezwa beach nzuri za Bagamoyo za bure au za kulipia nikapunguze mawazo

    Ahsante sana kaka[emoji120]
  7. msocial

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kuelekezwa beach nzuri za Bagamoyo za bure au za kulipia nikapunguze mawazo

    Wanaojitupa wanapanda Kilimanjaro marine[emoji23] [emoji23] [emoji23]
  8. msocial

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kuelekezwa beach nzuri za Bagamoyo za bure au za kulipia nikapunguze mawazo

    [emoji12] [emoji12] [emoji12]
  9. msocial

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kuelekezwa beach nzuri za Bagamoyo za bure au za kulipia nikapunguze mawazo

    Nimeandika hata za kulipia.... Usikurupuke na stelles zako
  10. msocial

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kuelekezwa beach nzuri za Bagamoyo za bure au za kulipia nikapunguze mawazo

    Gentamycine kwa jina jingine inaitwa Garamycin... Acha kujifanya mjanja kwa vitu usivyovijua mkuu utaaibika! Kama vp twende wote beach maana inaonekana na wewe una stelles
  11. msocial

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kuelekezwa beach nzuri za Bagamoyo za bure au za kulipia nikapunguze mawazo

    Ahsante sana Mr Garamycin nitaitafuta
  12. msocial

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kuelekezwa beach nzuri za Bagamoyo za bure au za kulipia nikapunguze mawazo

    Ahsante sana.... Bora angalau wewe maana wewe wananiongezea stelles tu
  13. msocial

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kuelekezwa beach nzuri za Bagamoyo za bure au za kulipia nikapunguze mawazo

    Stelles siyo stress....anyways sikupangii
  14. msocial

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kuelekezwa beach nzuri za Bagamoyo za bure au za kulipia nikapunguze mawazo

    Umeona eeh tusipangiane!
  15. msocial

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kuelekezwa beach nzuri za Bagamoyo za bure au za kulipia nikapunguze mawazo

    Stelles ni neno jipya huoni nimeliwekea fungua na funga semi...
Back
Top Bottom