Recent content by Msm.nyakatomlimani

  1. M

    Kwanini vijana wenzangu wananiita dogo na wengine kiumri nimewazidi?

    Itakuwa umbo lako ni dogo sana,watu wenye maumbo madogo yaani wembamba na wafupi siku zote wanaoneka bado,mimi kuna mdogo wangu umbile lake kubwa anapewa shikamoo mi nanyimwa na kiukweli watu wenye maumbo madogo uwa wanaonekana kutokua lkn wanakaa kwenye gemu muda mrefu ila magiant wanachoka...
  2. M

    Trafiki na ubambikaji wa makosa ya barabarani

    Kuna wengine nilikutanao Nyamikoma nafikiri ni mkoa mpya Simiyu wakaniandikia faini eti sikusimama kwenye kivuko cha waenda kwa miguu na kuwasha taa za hazard,nilipotaka wanifafanulie vizuri sheria hiyo wakanionesha msg zao za magroup eti lazima nisimame niwashe hazard ndio nivuke na wakati...
  3. M

    Tukumbushane;unaijua TMO? unakumbuka nini kuhusu TMO wakati uko shule?

    Te te te umenikumbusha mbali,enzi hizo shule ikifungwa na huna nauli basi kila siku unakwenda posta kuulizia jibu lilikuwa bado,wakati huo hakuna simu za mkononi,kweli ilikuwa balaa na siku ikija unamkopesha na mwezio nauli anaondoka kwenda kwao na deni kulipwa mpaka atoke likizo!!!!
  4. M

    Msaada:kwa uzembe nimechanganya terminal connection ya betri ya gari

    Usipanic, hizo umeua main fuse,fundi wa wiring anahitajika hapo sio suala kubwa la kukutia hofu sana japo fundi akikuona umepanic atatumia nafasi hiyo kukudanganya na kukupiga bei kubwa!
  5. M

    Mtulia akinyoosha mkono ntampa nafasi sio kama wale wakosoaji wa serikali.

    Hv sisi waafrika hasa Watanzania tulimkosea nini Mwenyezi Mungu!
  6. M

    Polisi: Hakuna sheria inayolazimisha gari kusimama ktk vivuko vya pundamilia kama hakuna anayesubiri kuvuka

    Ana nia njema bali tafasiri ya sheria hii imewachanganya watu wengi,polisi waje na lugha moja naamini kuna polisi makini wa kudadavua sheria!!
  7. M

    Nimemfumania rasmi mke wa jirani yangu akiliwa na bosi wake kwa mara ya pili

    Kausha mwana kwa sababu hujui jamaa anampenda mke wake kiasi gani,ukisema na jamaa akachukulia poa akaendelea na mke wake utaonekana choo!
  8. M

    Kwa CCM hii ya Rais Dk. Magufuli, ni nani atabaki Upinzani?

    Atakaebaki upinzani ndio mpinzani wengine njaa,tamaa na mioyo myepesi.
  9. M

    Mbunge Prof. Jay aangua kilio hadharani, baada ya mauaji yaliyofanywa na polisi jimboni kwake

    Jamani,si tuliambiwa Kibiti hakuna ugaidi ni uhalifu kwa kawaida!
  10. M

    Ni Kiongozi gani mkubwa aliyepewa Almasi ya Dola milioni 200? Mali zake zitaifishwe!

    Tuna akili za kuvukia traffic lights tu! na watawala wanazijua akili zetu.By Edo Kumwembe !! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    Maoni ya Edo Kumwembe kuhusu Kenya, yanadhirisha ukanjanja wa wanahabari wengi

    Wakudadavuwa tulia tu, wakati wa kurushiana mawe gizani ukasikia mmoja analia jua jiwe limempata, kelele unazopiga jiwe limekupata. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    Maoni ya Edo Kumwembe kuhusu Kenya, yanadhirisha ukanjanja wa wanahabari wengi

    Acheni povu,huyu jamaa Edo anaona mbali, siku zote watu waliokuwa na mitazamo tofauti na jamii walionekana wasaliti na wasioitakia mema jamii,lkn wengine ilikuja kuonekana kwamba walikuwa wakisimamia ukweli na kusababisha jamii nzima ionekanekane ilikuwa chaka.Tunaambiwa watu zamani waliamini...
  13. M

    Nilichokiona kwenye simu ya mdogo wangu wa kike! So sad!

    Pole sana ndugu yangu,dunia imebadilika sana sijui ndio unabii unatimia au la! Kizazi hiki watoto wana mambo makubwa kuliko watu wazima.Chakufanya kaa naye mwambie hali halisi bila kupepesa macho ili ukweli uwe wazi na hata ikiwezekana weka vikwazo kwa baadhi ya mambo kama kupiga marufuku mitoko...
Back
Top Bottom