Recent content by Msimbatigerald

  1. Msimbatigerald

    Msaada: Najihisi mimi ni bisexual

    Wewe ni mwalimu kwa nilivyokusoma,nimependa sana ustaarabu wako ktk kushauri juu ya swala hii...umeonyesha jinsi ulivyo na upeo mkubwa. Unajaribu kuielewa Dunia na sio mwepesi ya kuhukumu ama hupendi kabisa...Big up naamini unatufundishia vizuri sana watoto wetu. Kuja kwenye mada,kwaulewa wangu...
  2. Msimbatigerald

    Mkono wa sweta (govi) ninalo ila hakuna anaejua kama ninalo

    Govi halina utamu wowote,ni risk tu ya kupata magonjwa especially in this Era of HIV,hepatitis,stds etc. Sasa mkuu kama unafuga hilo dude tafuta dr alitoe,kwanza huwa linatunza uchafu sana.
  3. Msimbatigerald

    Ushauri: Nina uhusiano wa kimapenzi na mdogo wa shemeji yangu

    Swali la msingi ni je, mnapendana? Kama unampenda na yeye anakupenda olewa nae,swala la mtu kubadilika huko baadae hilo halipo ndani ya uwezo wako kama ambavyo hauna uhakika wa kumpata mtu mwingine ambaye atakuoa na mkaishi kwa amani.Mimi sio nabii lakini nakutabiria tu kwamba ukimuacha huyo...
  4. Msimbatigerald

    Zawadi special for MMU ladies.

    Nitawaibukia kwa bluetooth..hahahah I am joking.Mkuu hakuna cha zaidi ya hicho nilicho eleza hapo,thanks for curiosity.
  5. Msimbatigerald

    Zawadi special for MMU ladies.

    Mkuu unataka kuniaminisha kwamba ktk maisha yako hujawahi kujisikia kutoa kitu chochote kwa mtu bure kabisaaa kulingana na uwezo wako...lets say umepita mtaani ukakutana na mtoto mdogo alafu una coins za kutosha ukajiskia kumpa coin moja au mbili freeely na hutegemei chochote toka kwa huyo mtoto...
  6. Msimbatigerald

    Zawadi special for MMU ladies.

    Sakayo huamini katika upendo wa agape? Vipo vingi vinatolewa pasipo kulana wala kuliwa punguza woga
  7. Msimbatigerald

    Zawadi special for MMU ladies.

    Kutuma message moja hakuwezi kuwapoteza Mkuu,mbona wamejaa teleee hapa MMU
  8. Msimbatigerald

    Zawadi special for MMU ladies.

    I am not a papuchi hunter mkuu,hilo sio lengo langu kwa leo
  9. Msimbatigerald

    Zawadi special for MMU ladies.

    Kuwa na subira mkuu,napitia Pm zenu ili nitimize lengo langu..nimeshakuona huko pm
  10. Msimbatigerald

    Zawadi special for MMU ladies.

    Weekend yangu leo imeniendee poa sana na kwavile JF is my home na upendo wangu mkuu kwa wanawake wote nimeamua kutoa kazawadi kadogo kwa any MMU LADY atakaye kuja pm na kujieleza yuko wapi na anafanya nini. Zawadi ni pesa isiyozidi TSH 200,000/=na isiyopungua Tsh 50,000/=. Maelezo yako yata...
  11. Msimbatigerald

    Wakumbukwe wapenzi wa sekondari

    Nilikuwa domo zege ,nilikuwa soma soma ,nilikuwa mkali wa masomo yote class ...wadada walikuwa wanajileta kwa kisingizio cha niwafundishe,sikuwahi kuwa na demu ...nilikuwa boya sana kwakweli najutia fursa nilizopoteza za kukataa papuchi za wazi wazi. Lakini nimejirekebisha siku hizi ukijileta...
  12. Msimbatigerald

    Nahisi hili jitu linachukua msichana wangu

    Kama hajaliwa huyo mkuu usioe atakuwa sio normal female coitologically..
  13. Msimbatigerald

    Watoto wa kike wa mtaani kwetu wanatoa balaa!

    sasa wewe kuhadithiwa story za watu wanaobanjuana mtaani kwenu unaona umefaidika kweeeliiiiii, hii kwel tanzania ya vi-wandas vya watoto.
  14. Msimbatigerald

    Kwanini wanaume wamekua wadhaifu sana kitandani?

    Pamoja na mambo mengine wanawake wa siku hizi na wenyewe ni mtihani mkubwa wa ku sababisha turn off kwenye game....unamuona msichana mzuri kifua kinavutia,tumbo la kawaida ,sura inaita ukifika nae chumbani akisha chojoa ndio unajua kwamba mtindi unatepeta kama lapa ,tumbo limeshikiliwa na tummy...
  15. Msimbatigerald

    Catherine Ruge aapa bungeni

    upendo peneza kafunika wote,mimi akiingia kwenye kumi na nane zangu naoa kabisa yule mtoto
Back
Top Bottom