Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,934
Kwanin Usiende Wewewanakuja
Kwanin Usiende Wewewanakuja
ahhaaaaa usa baby una vituko sana .
sina shida na hela za watuKwanin Usiende Wewe
Subiri kwenye foleni bhanambona nimekuja pm haujibu?
Kuwa na subira mkuu,napitia Pm zenu ili nitimize lengo langu..nimeshakuona huko pmmbona nimekuja pm haujibu?
Kuwa na subira mkuu,napitia Pm zenu ili nitimize lengo langu..nimeshakuona huko pm



kumbe wanakuja kweliHa ha ha ha h..miss natafuta kuwa mpoleee. Tuliaaa 200k ya kwako DadaSubiri kwenye foleni bhana
sitaki tena vijisent vyako masaa 3 niache kulala nisubirie elf 50?Kuwa na subira mkuu,napitia Pm zenu ili nitimize lengo langu..nimeshakuona huko pm
I am not a papuchi hunter mkuu,hilo sio lengo langu kwa leoPapuchi Hunter kazini
ahahaaa wewe hujaenda?kumbe wanakuja kweli
siendagi pm kwa watuahahaaa wewe hujaenda?
Mkuu kazi imepamba moto huko.Kuwa na subira mkuu,napitia Pm zenu ili nitimize lengo langu..nimeshakuona huko pm

hujaenda mdogo wangu wewe?Ha ha ha ha h..miss natafuta kuwa mpoleee. Tuliaaa 200k ya kwako Dada
Kutuma message moja hakuwezi kuwapoteza Mkuu,mbona wamejaa teleee hapa MMUndio maana jukwaa la "MMU" limedorora sasa hivi.
inaonekana karibia wote wapo inbox yako mzee. fanya umalize basi utuachie MMU ladies wetu tu chati nao humu jukwaani.
Sijaenda Mimi Dada. Mi pesa za masharti ya kujieleza sijui nini siziwezagihujaenda mdogo wangu wewe?
Wacha weeee swahibaaKama kuna ugawaji wa zawadi humu basi Paprika ana zawadi yake inamsubiri kutoka kwangu![]()
![]()
![]()