TV yangu Risisngi inatatizo la Kutowaka kabisa. Inaonesha Indicator ya Red Kwenye Power status tatizo ni nini?
Muda mwingine ikikaa kwenye umeme kwa muda flani inawaka sasa sijui tatizo ni nini?
Msaada wenu tafadhali
Mimi nakushauri kama kweli unataka kufanya biashara kwenye laki tatu elfu 80,000/= nenda kwa fundi chonga kimeza kidogo tuu cha kuuzia urembo, 50,000/= nenda Machinga complex nje/Buguruni/tandika/Mbagala langi tatu stendi,Mwenge na maeneo mengine yenye watu wengi tafuta kigori.
Kisha nenda...
Date: 15th August 2016 to 18th August 2016.
Venue: Techno Brain second Floor Room No.3
Charges: Tsh:50,000/= for students & Tsh:100,000/= for non students.
Certificates will be awarded upon completion of workshop by Semic IT Solutions.
Mode of Payments: you may come direct to 2nd Floor...
StarLink group kwa kutambua changamoto mbalimbali zinazozikumba shule mbalimbali hasa za Sekondari namna ya kutunza nyaraka mbalimbali za shule, zikiwemo;
1) Ripoti za Wanafunzi
2) Record za Wanafunzi (Matokeo mbalimbali ya Mitihani na taarifa nyingine)
Tumetengeneza Application inayoitwa...
Mimi ninayo private na ninaweza kutengeneza Radio stations kwakutumia FM-wireless microfone na Receivers.Ambayo inaweza kusambaza matangazo si chini ya km 10 mahali nilipo na zaidi. na inaweza kutumia solar au Batry kama source power Na inashika ndani ya FM band tu.Kama unahitaji nitafute kwa...
Basi si vibaya nami nitoe dukudukulangu.
Nikiwa katika harakati za research ya kufungu biashara nikawa napiga stori na ndugu mmoja akawa ananiambia kwamba
Hapo kariakoo sikuhizi hata wao wenyewe hawapatani kutokana na mfumo wa biashara unaoendeshwa kwa sasa(mtu anafungua biashara kutokana na mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.