Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Uzi huu umenibariki sana, asante mleta mada na wachangiaji,maswali yangu mengi yamejibiwa humu, jf will remain jf
 
Ningependa kufahamu yale majina pale unapotaka kufungua kampuni yanaweza kua na effect yoyote, mfano mkongo enterprises, mkongo general suppliers, mkongo trading company ltd, mkongo investment ltd hayo majina ya katikati yanategemeana na kitu unachotaka kufanya au ni majina tu ya kawaida. Asante
 
N
hizi biashara za kuonana na receptionist ndio zinaumiza wananchi!, haya mambo kama vipi yafanyike online tuu, kuna kila sababu ya kufanyia hizi issue online, sioni kwa nini lazima tuonane na watu. ndio maana rushwa haitokoma TZ. Tujifunze kuokoa muda.

B.
nimeipenda Thread hii,Nashukuru ingawa nimepata habari kuwa kuna Group tatu za makampuni na Gharama zake,basi naomba msaada wa kujua Gharama hizo,
 
Habari wanajukwaa!
Awali ya yote huwa nawaza namna ya kusajili kampuni hatua zipi nifuate kuna wakati napata kazi naulizwa una kampuni nasema hamna jamaa anasema basi hamna hatukupi kazi

je faida ya kusajili kampuni ni zipi ?

je nikifirisika kodi wataendelea kunidai kama kampuni ?

je naweza pata mtu wa kunisaidia kusajili awe mwanza lakini ?

je kampuni nikisajili naweza pata mkopo ?
 
Habari wanajukwaa!
Awali ya yote huwa nawaza namna ya kusajili kampuni hatua zipi nifuate kuna wakati napata kazi naulizwa una kampuni nasema hamna jamaa anasema basi hamna hatukupi kazi

je faida ya kusajili kampuni ni zipi ?

je nikifirisika kodi wataendelea kunidai kama kampuni ?

je naweza pata mtu wa kunisaidia kusajili awe mwanza lakini ?

je kampuni nikisajili naweza pata mkopo ?
nenda kaulize ccm
 
Shukran kwa Wachangiaji wote nimejifunza mengi, ndio maana haipiti siku bila kusoma JF,
 
mimi nawaombeni kujua namna ya kufungua kampuni la ulinzi napata maelezo tofauti msaada anaejua hili
 
Haya mambo yana kuwaga na ugumu fulani kama Tin Number inatolewa bure lakini tunapigwa pesa ya iyo tin Number
 
Watanzania wenzangu,kumiliki biashara/kampuni (kwa maana ya limited company) na kujiajiri ndiyo siri ya mafanikio kwa Tanzania ya leo.Chukua hatua na ufungue kampuni yako na ujiiunue kiuchumi.


Sisi ni wataalamu kwenye swala zima la kusajili kampuni ya aina yoyote.Tunakamilisha taratibu zote kuanzia Name search,kuandaa MEMAT (yaani Memorandum and Articles of Association) pamoja na process zote za BRELA na ndani ya wiki moja tunakuletea Certificate of Incorporation popote ulipo.


Kwa wale wote waliopo ndani na nje ya Tanzania wenye nia ya kuanzisha kampuni Tanzania lakini hawajui waanzie wapi, wasiliana nasi na kwa pamoja tushirikiane kwa kutimiza ndoto zako.

Kama utakuwa na swali lolote basi usisite kuniuliza kwa njia ya whatsap, calls na sms 0768597186.
Au fika ofisin kwetu,

Essence Consult ltd
NHC Building,1st floor,
makunganya street,
Near Askari Manument ,
Dar es salaam.
0655 204 666
e.consult16@gmail.com.
 
contect iko vizuri inasaidia thanks sana, ila member nilikua na swali moja ivi unafahamu ni jinsi gan mtu unasajili kampuni ya media unaweza kunipa process zake.
japo hujaniuliza mimi, company ya media unasajili brela ,na hatua zake ni kufanya company name clearance,jina likipita inaandaliwa memorandum na artlicles of association ambazo company objects zitajieleza kwamba ni media company, baada ya usajili itafuata Tin,baada ya tin ni leseni ya biashara,ila kama ni print media Idara ya habari maelezo watahusika kukupa mwongozo,na kama ni electronic media TCRA watakupa muongozo wa vibali vyao.
 
japo hujaniuliza mimi, company ya media unasajili brela ,na hatua zake ni kufanya company name clearance,jina likipita inaandaliwa memorandum na artlicles of association ambazo company objects zitajieleza kwamba ni media company, baada ya usajili itafuata Tin,baada ya tin ni leseni ya biashara,ila kama ni print media Idara ya habari maelezo watahusika kukupa mwongozo,na kama ni electronic media TCRA watakupa muongozo wa vibali vyao.
Thanks mkuu vipi unaweza kujua pia kampuni la ulinzi hatua zake haswa mkuu
 
Thanks mkuu vipi unaweza kujua pia kampuni la ulinzi hatua zake haswa mkuu
hii unaanzia wizara ya mambo ya ndani ,hatua ya kwenda brela kwa ajili ya usajili ni baada ya kupata kibali cha wizara ya mambo ya ndani,ambapo barua hiyo utaambatanisha pamoja na documents za usajili wa company
 
Msaada, jinsi ya kufungua kampuni itakayojishughulisha na kazi zifuatazo. Printing, usafirishaji mazao na ununuzi mazao.
 
Back
Top Bottom