Kumekuwa na mabadiliko makubwa sana kati ya ccm ya mwenda zake na CCM ya Mama yetu. Mabadiliko yaliyotokea kwenye mifumo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa ni kama zilikuwa CCM mbili tofauti.
Habari wana JF
Naombeni mnisaidie kunyambua hili suala, tangu mdogo kipindi hicho mzee anamiliki radio ya mkulima ikifika saa 7 mchana anafungulia DW ujerumani mi nikiwa na miaka 12. Sijawahi kusikia mwenyekiti wa UN (umoja wa mataifa) huwa nasikia katibu wa UN tu. Ni kwamba hakuna mwenyekiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.