johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,761
CCM itaendelea kutegemea dola ili ishinde uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu hadi lini?
CCM itaendelea kutegemea mbeleko ya Wakurugenzi na wakuu wa wilaya hadi lini ilhali katika uhalisia mioyo ya wapiga kura huwezi kuisemea wala kuiamulia?
Ni wakati sasa CCM ijijengee uhalali wa kuchagulika kidemokrasia na kukubalika mioyoni mwa wananchi.
Tumpe nafasi mwenyekiti mama Samia akitengeneze chama
Hayati Magufuli alikuwa na approach yake ambayo imetujazia akina Babu Tale bungeni.
Tumwache mama Samia afanye mabadiliko stahiki ili kuendana na maono ya uongozi wake.
Eid Mubarak!
CCM itaendelea kutegemea mbeleko ya Wakurugenzi na wakuu wa wilaya hadi lini ilhali katika uhalisia mioyo ya wapiga kura huwezi kuisemea wala kuiamulia?
Ni wakati sasa CCM ijijengee uhalali wa kuchagulika kidemokrasia na kukubalika mioyoni mwa wananchi.
Tumpe nafasi mwenyekiti mama Samia akitengeneze chama
Hayati Magufuli alikuwa na approach yake ambayo imetujazia akina Babu Tale bungeni.
Tumwache mama Samia afanye mabadiliko stahiki ili kuendana na maono ya uongozi wake.
Eid Mubarak!