Recent content by msigazi

  1. msigazi

    PreGE2025 Uzi Maalum wa Celebrities wanaotangaza nia ya kuwania ubunge kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025

    Brysoni Magesa anatarajia kugombea jimbo kipya la katoro Baada ya Busanda kuharibu vibaya sana
  2. msigazi

    Unaanzaje kuondoka CHADEMA HII hata kama CCM wanakununua Kwa Mamilioni ya FEDHA?

    Wabangaizaji na matapeli WA kisiasa NI ccm
  3. msigazi

    Tanzania yavunja rekodi ya kuvutia watalii milioni 5 mwaka 2024. Huu ni ushindi mwingine wa kwa Sera ya kufungua nchi

    Hakuna faida yoyote kwa walala hoi Wanajimilikisha wao tu Wananchi maisha yao yako taabani Wakati nchi imejaa maziwa na asali
  4. msigazi

    Maneno mapya yakiswahili nisiyovutiwa nayo...

    Nami nitoe dukuduku langu Neno lengine sio kiswahili sanifu Kiswahili sanifu tunasema lingine,kingine ni Pia Neno Mbashara halifurahishi badala yake iwe matangazo ya moja kwa moja Maana yake hayarekodiwi kwanza Kuna Mnyama mwingine wamempa JINA nyegere Naomba watafute JINA jingine asante
  5. msigazi

    Nilivyoumbuka kwenye swimming pool

    Fahamu zilikujaje wakati ulikuwa hujifahamu?
  6. msigazi

    Kwa mujibu wa Biblia, ni dhambi au si dhambi kwa Mkristo kunywa pombe?

    Kwa mjibu wa dini sio dhambi Kwa mjibu wa Biblia Neno la Mungu ni dhambi
  7. msigazi

    Dkt. Manguruwe matatani, asomewa mashtaka 28 ya utapeli, uhujumu Uchumi

    Amebaki tapeli wa tiktok mzee wa mbao nyekundu
  8. msigazi

    TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

    Alishindwa kuwekeza kwa Mungu akawekeza kwa shetani Matokeo ndo hayo sasa
Back
Top Bottom