Iwapo nchi itakubaliana visasi kama hivi kwa watu waliokosa fursa niwazi nchi ntakuwa genge la watu wahuni walioshindikana !! Kama mtu alipewa mdomo na fursa akinyang'anywa anatoa siri zote ni sawa na mwanaume mtoto aliyekosa malezi !! Nini kitatokea iwapo kila mtu ataamua kutoa siri za x wake...
Kama hoja gani mh !! Hoja ya kutekwq ilikuwepo yeye akiwa mmbunge na wakusini maeneo ya kibiti na rufiji ni waathirika wakubwa nayeye alikuwepo mbona hakufungua mdomo kusema
Ukweli unasemwa pale unapokuwemo usisubiri kubanwa kwa maslahin!! Huyu alikuwa mkweli lkn alivyopewa Tonge akanyamaza mnafiki tuu !! Kuna watu waliawa Kibiti wakati wa magufuli maiti waliokotwa kwenye viroba yeye kutekwa dada yake na hajafa atananua mdomo kama kivuko !! Hao wenzake atulie tu
Mimi kwa fikra zangu machawa hawaijui CCM vizuri wanatafuta afueni wapewe tuzo maisha yaende!!
Msiwatumie machawa kuwajibu watu wanaojifanya kujilipua kwa kukosa maslahi ya liutawala!!
Mngekaa kimya mkaacha busara itumike na waasi kujiona wajinga!!
Huwezi kutoka hadharani kudhihaki sehemu...
Chukua bamia mbichi visage kwa Brenda kiasi kama tano hivi uwe unakunywa hilo zege kabla hujala kitu kwa muda wa siki 7 mpaka 21 inategemea na ukubwa wa vidonda vyenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.