Siyo sahihi kabisa, posho na mshahara wa wabunge est 12m per month x no of MB x 12months = lost tax income. 2. Siyo tax exempted hata sheria ya mafao ni double standard. Wabunge hawasubiri miaka ya ku retire kupata mafao yao.
Haki inaenda na wajibu, kila mwananchi walipe kodi lkn serikali ifanye wajibu wa matumizi sahihi ya kodi. 1. Kununua magari ya bei ya kawaida km hardtop na hilux kwa wakuu wa mikoa na wakurugenzi mpaka mawaziri. Mashangingi iwe kwa Rais, makamu wa Rais, na waziri mkuu. 2. Report ya CAG...
Inasikitisha sana, wiki iliyopita nilik
Wiki iliyopita nilikuwa wilaya za Kibondo na Kasulu nilishangaa kuona magari yenye namba za Rwanda, Kenya na Burundi kuwa vijijini kununua mazao ya chakula muhogo na maharage direct kutoka Kwa wakulima , kwa nini tunashindwa kulinda soko letu ?
Ndiyo pesa ziko nje mwacheni aende, si mnajua ndani hakuna kitu. Km nyumbani kwako wakati wa kilimo hulimi utavuna kweli? lazima utafute vibarua au msaada. Mama kaza mwendo tafuta hela.
Tunajua kwa nini TCRA wamemfungia: Pia na wao hawana makosa kwa sababu TCRA haiko huru ulitaka boss TCRA afanyeje amfungie Polepole au afukuzwe kazi? kwa kifupi tunahitaji katiba mpya ila kila taasisi iwajibike kwa wananchi badala ya kwa Rais ambaye ni mwenyekiti wa chama tawala.
1. Lkn...
Mkweli ni Yupi kati ya hawa: Uwazi na ukweli, Maisha bora kwa kila MT, Hapa kazi tu, Kazi iendelee
Ni awamu gani Ilitafsili kauli mbiu kwa viendo tukianza na awamu ya 3?
Awamu ya tatu: Mzee Mkapa (R.I.P) Kaulimbiu : Uwazi na ukweli
Awamu ya Nne: Mzee Kikwete Kauli mbiu : Maisha bora kwa kila...
http://www.zanzinews.com/2013/03/mwenyekiti-jukwaa-la-wahariri.html
Mmiliki wa Home Shopping Centre amwagiwa tindikali usoni
LWAKATARE AACHIWA HURU NA KUKAMATWA PAPO HAPO
https://zittokabwe.wordpress.com/2012/06/27/dr-ulimboka-kutekwa-kupigwa-na-kuumizwa-serikali-inawajibika-kutueleza/...
Watu bwana, aliwaua akina nani? mbona watu walikuwa wanamwagiwa na kutolewa macho hata kabla ya JPM, hata sasa dola ipo ukifanya unataka kuwa juu ya usalama wa nchi utashughulikwa tu, kuna watu wanafikiri kuongoza nchi ni kitu chepesi. ukipewa onyo acha husikii, kila siku ukiamka unamtukana...
Kuna tofauti kati ya Rais Samia na awamu zilizopita, Rais Samia alikuwa msaidizi wa JPM, akitaka ku WIN ma group ndani ya CCM ni kukaa kimya na kufanya yake kwa kutumia taasisi za Urais
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.