Hakuna dini apo....ni ujanja ujanaja wa mudi tu...mtu kaja miaka mia tano baada ya nabii yusuf...kaleta vjsheria vyake vya kipuuzi mjin apa...kukwepa matamio yake ya kingono
We nawe umeniangusha sana....mda wooote huo ulikuwa huoni izi ni drama au alikuwa ndo demu wako wa kwanza...apo huna chako wanaume walishakata utepe na jiwe la msingi wameweka ....tafuta kazi nyingine
Sent from my LG-K430 using JamiiForums mobile app
Ndo maana akaitwa muigizaji aliigiza namna alivyosoma kweny biblia...haya mambo ni magum kuelewa yanahitaj akil ya ziada kidg kuyaelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikwajuni....uneongea kitu gan kitambaa nilchozungumzia mm cdhan kama umeelewa ...sasa atajiwekeaje kitambaa mwenyew uson alaf aigize sura yake mwenyew....unalewa unachokizungumza au hata wewe hukielew unachozungumza
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanapenda sana kumzungumzia mwigizaji wa filamu ikumbukwe kuwa muigizaji huyu alipata picha ya sura ya yesu iliyokuwa kwenye kitambaa ambacho kipo kilichotumika kumfuta kulingana na mapokeo na biblia hivyo basi si sura halis ya Yesu ila ni linganisho wa image iliyokuwepo kwenye kitambaa...
Ukristo ulikuwepo karne zaid ya tano kabla ya uislam....ila huwa inafichwa fichwa ingawa wachambuz wa mambo tunaelewa kwaiyo cku saba katka juma ilikuwepo siku ambayo watu hawafanyi kaz nayo ni sabato....lkn badae mfumo ukabadilka kdg lkn ijumaa ni watu walikaa wakaiga tu na kutafuta kasiku kao...
Itakuwa sudan kaskazn ndo kuna majinga jinga huko na vita haitaisha...din haienezw kwa nguv na akijfanya iman kal wazung watamnyoosha mda c mre
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nataka abaki madarakan turekebishe katba tu miaka 20 itamtosha tutakuwa tumepga hatua hata akiachia mtu ambaye c kama yy hatuwez kurud nyuma sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan umelazimshwa kwenda seminary za kikristu...mbona ukienda mfano shule ya jamhur dodoma unalazmishwa kuvaa matambara yao kichwan....nonsense
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.