Recent content by Mshale_OG

  1. Mshale_OG

    DOKEZO Responded TAKUKURU chunguzeni Halmashauri ya Mji wa Kibaha pananuka wizi kuhusu ardhi

    Aisee Halmashauri ya Kibaha ijitafakari, wacha niyaanike majina ya baadhi ya wababaishaji, wasanii, na wahujumu uchumi kwa kurudisha nyuma juhudi za Mama. 1. Idara ya Mipango mji inayoongozwa na Jamaa mmoja anayejulikana kwa jina la (Shushu) 2. Mkuu wa Idara mwenye ukabila na mbabaifu sanaa...
  2. Mshale_OG

    Zitto Kabwe: Majibu ya Ripoti ya CAG yatatolewa na Bunge 2024 hivyo tunataka iundwe Kamati maalumu kuchunguza Mabehewa!

    Ongezea mfumo mzima wa mawasiliano ya reli (GSM-R), wamefunga very old equipments.
  3. Mshale_OG

    Maswali ya interview NAOT na HESLB

    Inasikitisha, nahisi watu wengi imewapita kwa maana hizi tarehe zipo back dated. Ila cha kushangaza ni hio namba 3!
  4. Mshale_OG

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    https://www.jamiiforums.com/threads/udhaifu-maoni-na-mapendekezo-kwa-tume-ya-ajira-psrs.2027973/ Udhaifu, Maoni na Mapendekezo kwa Tume ya Ajira "PSRS"
  5. Mshale_OG

    Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

    https://www.jamiiforums.com/threads/udhaifu-maoni-na-mapendekezo-kwa-tume-ya-ajira-psrs.2027973/ Udhaifu, Maoni na Mapendekezo kwa Tume ya Ajira "PSRS"
  6. Mshale_OG

    Udhaifu, Maoni na Mapendekezo kwa Tume ya Ajira "PSRS"

    Shukran, ingawa mimi ni mstaafu (PhD) na PSRS ina upuuzi mwingi mno, hawaambiliki hopefully vijana wataamka ingawa wengi ni waoga but message sent!
  7. Mshale_OG

    Udhaifu, Maoni na Mapendekezo kwa Tume ya Ajira "PSRS"

    Kwa vijana wengi, hii kitu / tume ya ajira imekua kichefu chefu sana na yanayoendelea yanakatisha tamaa mno. 1. Udhaifu Tume inafanya kazi manual, yaani chaguzi za watahiniwa / wasahili unafanyawa na unaamuliwa na watu. Hii husababisha / huweza sababisha kuwepo kwa upendeleo, kuacha mtu mwenye...
  8. Mshale_OG

    Kilio chetu kwa Rais Samia: Tunaomba PayPal iruhusiwe nchini Tanzania

    Paypal Mbona inafanya kazi freshi tuu, mara nyingi hua naitumia kulipia huduma na kupokea pesa.
Back
Top Bottom