Wakuu habari za majukumu.
Kama bango linavoonekana hapo.
Nina mtaji wa Tsh 60,000 nataka niiwekeze hapa nje ya kaduka kangu, naweza kufanya nn angalau inilipe?
Natanguliza shukrani, msaada wako wa maoni ni muhimu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.