Recent content by -mseto_

  1. -mseto_

    Nilipata Supplementary kwa kipindi chote cha Miaka 4 Chuoni, hatimaye nitavaa joho hivi punde

    First, second year skuwah pata supp, third year semester ya kwanza nikapata supp mbili, policy, planning and programming na industrial, skuzoeaga izo mambo nilikonda mbona, kila nikiziangalia nahis sita graduate nta carry, sometime nilkua naota usiku nimeshindw kuzichomoa, me ushaur wang ni...
  2. -mseto_

    First Year 2020/ 2021 tukutane hapa

    Me nimechaguliwa mtaan, bachelor of arts in difficult life.
  3. -mseto_

    Msaada shule bora ya sekondary ya michezo

    Nataman wazaz wangu wangejali hilo kipind hicho, Dah wazee walitulea kibabe san huulizw nin unataka
  4. -mseto_

    Ushauri,kozi ipi ni nzuri kwa kujiajiri na kuajiriwa kati ya hizi hapa?

    Mbona carpentry siion, me naona hiyo ina pesa
  5. -mseto_

    Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya mifugo 2020/2021 (September intake)

    Ivi uko kwenye vyuo vya mifugo mnasomaga nn, mbona wafugaji ni mama zetu nyumbani, nyie mkitoka mnaendaga wapi
  6. -mseto_

    Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu yafungua dirisha la maombi kwa siku 40, yatoa muongozo

    Mida ya bahat nasib, kama una nyota ya kisamvu wajumbe wanakukata, mliosoma private msidate, mkopo anapata yeyot
  7. -mseto_

    Changamoto za kuisomea Degree ya Sheria

    Unasoma miaka mitano me hiyo kwangu ni changamoto, af idad yenu ni nyomi apa saut wakiw wanatoka darasan utadhan tuko kariakoo, hii inaonyesha kupata ajira ni mziki
  8. -mseto_

    Tunaotaka kuomba Bachelor degree vyuo mbalimbali 2020/2021 tukutane basi

    Nimemaliza, manake nimeona kilichopo huku, spend kuona mnapoteza muda, nimetoa ushaur kama mzoefu, dunia ya sasa haihitaj elim ya juu
  9. -mseto_

    Wanafunzi wa vyuo hulipwa kulingana na siku za masomo na si vinginevyo!

    Item inaitwa meals and accommodation kwanini wanaiweka kama ni meals tu, hiyo miez ya korona tulirudisha vyumba au ? Au wanadhan tunakaa guest ? Kodi ilisoma kama kawa na inaendelea kusoma, napewa iyo hela sio nile tu nilipie na kodi, ukiachana na hilo, watu wanaitumia kama ada pia, Cha...
  10. -mseto_

    Tunaotaka kuomba Bachelor degree vyuo mbalimbali 2020/2021 tukutane basi

    Nishapoteza miaka yangu mitatu namalzia semester ya mwisho now (bachelor) na nyie mkapoteze muda. Nashauri kama unajiamini, elim ya diploma inatosha sana, pesa iko mtaan, degree inakutengeneza kua mtumwa wa taasisi
  11. -mseto_

    Msaada (HESLB): Kuna mdogo wangu baba yake amefariki lakini anapata ugumu kupata cheti cha kifo

    Nilifanyaga mistake hiyo kwa kuandika baba mlemavu, systeam ikadai barua, nilidata. Haikutakiwa afanye hivo kabla ya kua na Cheti, hapo kilichobaki ni kukamia cheti kipatikane, hakuna kinachoshindikana tatizo inakuaga hela.
  12. -mseto_

    Misukosuko: Bongo Movie Part 1,2,3

    Movie za mapigano Bongo zinakwama wapi asee, naona tumerudi kwenye tamthilia za masimulizi nazo bado stori zile zile unaikumbuka Misukosuko, na Penzi la Misukosuko. Uliangalia ulikuwa kibanda umiza au we wakishua uliangalizia home. Nakumbuka enzi izo baada ya kuangalia movie mnatoka nje kwenda...
  13. -mseto_

    Simulizi: Tafadhali baba usitufanye misukule

    Sent using Jamii Forums mobile app
  14. -mseto_

    Movie Reviews

    Sent using Jamii Forums mobile app
  15. -mseto_

    Old is Gold: Good music never dies

    Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom