Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Nina 2plates mashine ya kuprint picha/kuweka picha kwenye nguo kama T-shirt n.Ni kubwa industrial machine ina sahani 2 ambazo unaweza kufanya kazi nyingi kwa muda mfupi.Mashine ni mpya haijatumika sana
Bei 2.5mil
Bei inapungua for seeious...
Ahahahaa.....maana yake ni kwamba VINAONGEZEKA KWA KUPUNGUA....eg kama mwaka juzi viliongezeka 20 mwaka jana 22 na mwaka huu vitaongezeka 21na mwaka kesho vitakuwa stagnant 20 maana kama expctation ya ilikuwa ku double
Me ningeshauri serikali ibaki kama kiranja mkuu tuu na regulator mkuu wa uchumi but all means of production ziende sector binafsi maana ndio engine ya uchumi na ni mtoaji mkubwa wa ajira..serikali ibaki kutoa elimu na kukusanya kodi tuu.
used one...wakiishaitumia then wakija na new technology...hizo wanapaka rangi kisha wanawaletea wakenya wanawadanganya ni mpya....ahahhaaaa...hatudanganyikiiiiiii
katutanza kimataifa...mh. magifuli keshapiga total bun kwa ndege lenu....sasa kutakuwa na direct flight toka majuu mpk tz....kq watajamba checheeeee.....huu ni utawaoa mupyaaaaaaaaa......na mkizoea kutegemea watz ktk kila kitu sasa mambo yamebadilika
nadhani hatupaswi kuilinganisha the beautful coming hit train yetu watz na gari moshi lao...washindani wetu watakuwa ethiopia na sii wao tutakuwa tunawaonea.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.