Asante bwana Hakika utakufa!
Nakubaliana na wewe kuwa mimi ni wa ajabu, kwa sababu nalalamika, kwahiyo mtu yeyote anayeomba ushauri ni mlalamikaji, Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki maana,,,,,, nakutakia kila la heri!
Na nimeshakusamehe bure!
BTW nakushukuru kwa yote!