Nina tatizo la infertility (kutokuwa na uwezo wa kupata mtoto)

Pole sana Boss, Jaribu kukubali hali na kufanya mpango wa kuadopt mtoto naamini atakupa peace of mind na kuleta furaha ndani ya nyumba yako.

Nina ndugu yangu alitumia sana pesa kujaribu kutibu hali kama hii bila mafanikio nakusihi usifike huko ukasahau kuishi maisha yako.

Fuata ushauri wa wataalamu, kula vyakula rich in protein, fanya mazoezi huku pia ukijaribu kukubali hali. Mwenyezi Mungu awe pamoja nawe
Asante!
 
Amini Mungu ni mwema.
Mshirikishe pia kupitia njia ya maombi na maombezi naamini utapokea haja ya moyo wako.
 
Pole sana...

Ila mshukuru Mungu kwa kila jambo. Huwezi kujua kakuepusha na nini... ungeweza labda kuzaa toto jambazi likakuua, au toto shoga, au jizi lililokubuhu..
Nilitaka kumshauri hivi hivi, nashukuru umemaliza!!

La ziada aache kuitazama dunia na wanadamu, ajitazame yeye. Kwamba hana uwezo wa kuzaa so awe tolerant tu!!

Ni kitu cha kawaida ukikichukulia kawaida.
 
Pole sana kaka nimeumia mno...ushauri wangu zunguka na kwa waganga wa tiba mbadala watakusaidia au miti shamba pole sana usiumie wala usilie kuna watu wana majribu magumu mno wala usimkufuru mungu
 
Siku hizi hata hapa bongo wanafanya kuna hospital mikocheni.
Gharama ni nafuu kuliko kwenda huko nje.
Simshauri mtu kwenda hospitali zilizoko bongo hii.....

Tena hiyo ya mikocheni gharama almost na nje( success rate pia sio kivile kama za wenzetu) ......tena bora nje unapata vipimo vya uhakika na madr wengi wenye uzoefu mkubwa zaidi.....

Unless wakamuone shafiq ila atawashauri India
 
Pole sana Mheshimiwa,matatizo haya sasa yapo tena jua haupo peke yako kwenye janga hilo,ninachotaka kukushauri kama upo mjini Dar es salaam sikiliza Times Fm kuanzia saa 10pm-12am usiku,hapo utapata namba za wataalamu wa mambo ya uzazi watu wengi wanatoa ushuhuda wakupona hapo.
 
mkuu nimeumia sana naomba nikutibu bureee kwa kukupa formula yangu ya matunda na utapona na watoto utazaa nishatibu wengi walioshibdikana hospital ambapo wanakuambia tatizo ila sio utatuzi nitafute whats app 0712505049
Asante mkuu!
 
dhuuuuu hatari sana ni noma sasa hapo hakuna njia tafuta njia unnge na mkeo jinsi ya kupata mtoto maana kuwa eidha wa mtomb@# upate mtto ila mnatafuta best guy na kimya kimya kama ile movie ya kanumba na uwe na amani kupata mtoto sehemu nyingine. au nnjooo nikupe mbegu bure.
na usikataee maana furaha ya ndoa ni mtoto na heshima ya nyumba ni mtoto na huwezi itwa baba bila mtoto na hauta heshimika bila mtoto na iwe isiwe lazima mkeo aje kuleta ukorofi kwa hilo swala.
"Hujafa, hukaumbika"
Ndio maneno ninayopenda yakufikie popote ulipo.
 
Mungu atakupatia wepesi na utapona kabisa mkuu ,ni hospital zipi ulienda kaka. Kama una contact za huyo Dr naziomba mkuu wangu. Just pm please
 
Pole sana...

Ila mshukuru Mungu kwa kila jambo. Huwezi kujua kakuepusha na nini... ungeweza labda kuzaa toto jambazi likakuua, au toto shoga, au jizi lililokubuhu.

Mipango ya Mungu haina makosa. Kuoa ni sheria, kuzaa ni majaliwa... kama mkeo hajakwazika na amelikubali tatizo, kuna majinga kibao yanatupa watoto, mnaweza kuadopt kama una nia na hamu sana ya kuwa na watoto.

Narudia tena, wakati wewe unasikitika hujapata mtoto kuna watu wanajuta kwanini wamepata mtoto/watoto.

Mshukuru Mungu.

Na hili ndilo neno langu mtakatifu ODM
maneno mazito sana haya kama yakizingatiwa.
 
Gharam
Gharama yaweza kuwa kiasi gani mkuu
Dada yangu mpaka anafanikiwa kupata ujauzito ilikuwa karibu 9m za kitanzania lkn kila mtu huwa wanatofautiana shida zao inaweza ikawa chini ya hapo au zaidi kutokana tatizo ambalo mama analo au wenza wote.
 
Majibu yalionesha hakuna sperm kabisa kwenye semen, yaani hakuna hata mbegu moja iliyo nzima wala iliyokufa, kitaalamu aliandika TOTAL AZOOSPERMIA!
Kuna kitu nataka nishee na hapo watalaam walio pima, walipima tuhh hyo sperm analysis au pamoja na Kipimo cha gram stain?
Nasema hivi kwa sababu moja ama mbili, mtu/watu wakiwa na tatizo la sperm, lazima vipimo viwili vipimwe, moja ni microscopally pamoja na Gram stain.

Gram stain hii husaidia mkujua ama kutambua kuwa ndani ya kifuko cha kutuzia mbegu kama kuna bacteria au infections zozote ndani take, maana kuna baadhi ya watu wamekuwa wakigundulika na tatizo hili kwamba mbegu ziki zalishwa tuhh linaliwa na bacteria zote na kubaki na zero count.

Pili tunaangalia PH ya sampe, inabidi iwe 7.2 Mpaka 8.7-9 hapo tunasema kwamba ducduct zako bado zinafanya kazi, maana ikiwa chini ya hapo, unakuwa acidic pH ambayo huonyesha kuwa kifuko cha manii has been blocked.

Kama mwanamke upo Nate sasa naenda hospital ukaombe upewe hata booster wa kuzalisha mbegu angalau ufanikiwe kupata hata katoto kamoja. Au nunua dawa zinaiwa Act-potents pengine zina weza kukusaidia

Lakini pamoja na hayo yote, Tuna ludi kwenye imani pia, huwa unaota kama kujamiana na watu usiku, kama wazee, sura ambazo hazieleweki, hii pia huleta majibu ya infertility I mean kwamba una jini mahaba, ambao ni wabaya sana katika maisha ya binadamu, maana wale kazi yao hufunga kabisa uzazi ili waendelee kujamiana na wewe, wanawivu sana unaweza kaa nao mpaka mwisho wa uhai wako, utawazalia watoto lakini watakuwa majini hutawaona machoni mwako.

NB: Fuata ushauri wa madaktari sisi ni washauli tuhh.
Mungu akusaidie,Naam hakika atakusaidia.
 
Back
Top Bottom