Habari za usiku ndugu zangu leo ningependa tujiulize kwa muda wa zaidi ya mwaka mzima ni waziri yupi unamuona kama jipu kwa upande wangu naona waziri wa elimu ni jipu yaani mipango yake mingi ni kupunguza wasomi sio kuboresha elimu kwan elimu ingebidi swala la kupandisha gredi liwe la mwisho...
Me ni natake bachelor of it but mostly naona c language inatengeneza simple program kama addition simple function but me nataka kujua how can i make large system kama linux kwa c language
Moja kati ya ajenda ya serikali hii ni kuondoa wafanyakazi na wanafunzi hewa pili ni ukaguzi wa vyetu na kuleta elimu yenye tija na dunia nzima maendeleo yanaletwa na elimu hatuwezi kuwa na maendeleo bila kuwa na viongozi waadilifu na wenye elimu wenye kuweza kupanga mikakat mizur ya elimu swala...
Jaman ndugu zangu wa jamii forums naona kama mada ya mchanga wa dhahabu imekuja kututoa katika agenda ya kitaifa ya vyeti feki vya daudi bashite naombeni hii agenda tusiache ipite hadi kieleweke either bashite atoe vyeti au awajibishwe kwa mujibu wa sheria za nchi kwa sababu nobody is above the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.