Recent content by Msemaji_

  1. Msemaji_

    Vijana, Figo zinaua, jilindeni na haya Mapombe…Ushauri tu!

    Punguza pombe madame, hapo imezu tumezika wengi kwa pombe
  2. Msemaji_

    Ingekuwa mkeo ungefanyaje?

    Ndio ubaya wa story za kutunga
  3. Msemaji_

    Kwa zama tulizopo ni bora mtu kwenda Ordinary diploma au Advance Education (Form 5 na 6?)

    Mbona huko afya ndio Kuna course nyingi za cheti na diploma na vyuo vipi vingi sana , unataka kusema tunatibiwa na watabibu wasio Bora?
  4. Msemaji_

    Kwa zama tulizopo ni bora mtu kwenda Ordinary diploma au Advance Education (Form 5 na 6?)

    Kwa mm niliepitia advance level na kwenda chuo naona Bora mtu apitie ordinary diploma then atajiendeleza kielimu akiwa kazini na pia kazi zinafanywa na ordinary diploma But kama tunataka kuwaandaa wanasayansi nguli wa utafiti ni vizuri wakapitia advance coz unachimba mambo kwa undani sana
  5. Msemaji_

    Ahmedy Ally: Mechi yetu na Kagera Sugar ndiyo mechi yetu ya mwisho msimu huu

    Kama mmemaliza msimu basi nendeni mkachukue kombe lenu , mnasubilia nn sasa?
  6. Msemaji_

    Hapa Vwawa kwa akina Lucas Mwashambwa panachekesha sana

    Pia Kuna chimbo moja tu la kula Bata hapo inbox
  7. Msemaji_

    Songwe connection ni mtaji wa watu wachache

    Ni wakina mama tu na mabinti but siku moja watalia
  8. Msemaji_

    Songwe connection ni mtaji wa watu wachache

    Yap ni akina mama na mabinti wasio na ajira nalijua pia coz natokea huko niliambiwa nijiunge nikagoma
  9. Msemaji_

    Ni lini utumishi wataita watu waliofanya oral za MDAs & LGAs

    Una haraka sana kijana mm nilifanya mwezi wa pili mwaka Jana nikaitwa kuchukua barua ya kuitwa kazini mwezi wa nane na nikaitwa kuchukua barua ya kupangiwa kituo Cha kazi mwezi wa kumi na moja
  10. Msemaji_

    Rasmi Urusi na Marekani wakutana Saudi Arabia kumaliza vita ya Ukraine, Zelensky hajaitwa kuhudhuria kikao

    Zelesky anaenda kuuwawa coz putini anataka kuondoa kabisa aidia au mentality za zelesky pale Ukraine, na Putin sio wa mchezo mchezo
  11. Msemaji_

    Kulikuwa na sababu gani Singida Black Stars kuanzisha wachezaji wengi wa kikosi cha pili wakati wachezaji kikosi cha kwanza wapo fit?

    Ww ndio hujamuelewa , yy kasema hakuna team huwa inachezesha kikosi Cha pili kwa Tanzania
  12. Msemaji_

    Marekani inawauliza Ulaya kile wanachohitaji kwa dhamana ya usalama ya Ukraine

    Msichokijua ni wababe wawili yaan Simba na chui wameamua kukaa chini na kugawana mapori ili Kila mmoja ale pori lake mashariki ya kati na Amerika kusini zinaenda kuwa chini ya marekani na ulaya yote pamoja na Asia zinaenda kuwa chini ya Russia
  13. Msemaji_

    Pendekezo la Sheria Mpya upigaji Penati

    Mm nazani au napendekeza kama ndani ya dakika 90 za mchezo kwa Kila team Kuna penalty taker basi hata baada ya dakika kama tunaingia kwenye penalty napendekeza kama tunapiga penalty kumi na Nina mpigaji wangu mzuri naomba zote apige yeye coz kama ndani ya dakika 90 mliweza kuniruhusu huyu apige...
  14. Msemaji_

    Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

    Na hiyo sababu lazima iwe na maslai mapana ya Nchi, mfano tz tunaenda kupigana congo coz tumepewa eneo sehemu ya ziwa Tanganyika upande wa Kongo tumejenga bandari
Back
Top Bottom