Jamani Kingamuzi ndio kinakufa hicho, hii mara ya pili kingamuzi kinakata mawasiliano.
Wametangaza kwamba Eti wanahama toka mfumo wa Mkonga kwenda satellite, kwa hiyo muwe na subira, na hata hawasemi zoezi litachukua muda gani. Mbona DSTV na Azam wana Update softwares na hatujawahi sikia...
Rest in Peace vingamuzi kama Continental, Digitek na Easy TV.
Azam wako juu na wamejipanga, sio kama vingamuzi vingine vinaanza biashara na channel 8.
Kingamuzi cha StarSat cha startimes, ambayo unatumia Dish, haitakuwa na Local channel zaidi ya TBC na channel 10. Kwa hiyo haitaweza...
Q: Existing TV stations did not want to join and be part of Azam TV can you expand on the reasons why?
A: They are Star TV and Independent Television (ITV). We have spoken to both of them, but at the end of the day it is their decision. My door is always open if they want to talk.
It does...
TCRA pia walitaka makampuni DVB-T2 kwa ajili ya unafuu wa vifaa na wakati mwingine huhitaji Antenna.
Kingamuzi change satellite cha Startimes, unfortunately hakutakuwa na channel za ITV na StarTV
Tatizo La ITV na Star TV ni kubwa, Ubabe wao hauishi kwa AZAM TV pekee, Ila pia wamekatalia channel zao kwa Easy TV, DSTV, ZUKU.
Lakini baada ya Muda watangazaji wa bidhaa watapokea data na ndio wataanza kuumia kutokana na kuwa na coverage ndogo kwa vingamuzi.
Kama sio TCRA pia walikuwa na...
Wako Kingamuzi cha Startimes channel 103. Taarifa za habari zimeanza this week saa 1:30.
ITV wanaaudhi kukataa kuingia kwenye vingamuzi vingine, ili kingamuz chake kitoke
I hope wataingia Pia DSTV na vingamuzi vingine.
Viasat 1 wameanzia Ghana na sasa wako tanzania. wanalenga international programmes kuchanganya na Local Programmes.
ITV wanaudhi kungangania Channel yao isiwekwe kwa vingamuzi vingine, mapinduzi sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.