Huko vyuoni si tu wataalamu wachache bali wataalamu hao wanacreate uchache kwa kuwalamba wanafunzi makarai makusudi!
kuhusu resistance to change hyo ni njia ya kutetea ajira zao japo sometimes resistance huwa ndo tabia za baadhi ya binadamu yani mtu anapinga kila kitu.
Habari wanabodi.
kutokana na kutokuwepo kwa umeme nmeshindwa kutafuta maana halisi ya neno mgao kwenye kamusi ya tuki.
sasa yapata saa ya kumi na tatu bila umeme huku kwetu temeke.cjui nini sababu labda kwakuwa jana sikuangalia luninga jana labda wenzangu mna taarifa kuhusu kutokuwepo kwa...
Nyie mnaoikashafu cdm kwa tamko ndo mnaonfnya niamini kuwa mnakipenda kwa kuwa ni chama cha kikristo kama ccm na baadhi ya watu wanavyosema.cdm wametoa tamko la maana tu ila udini ndo unaowasumbua!'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.