Recent content by Msela jela

  1. M

    Majina ya walio itwa kwenye usaili UDOM

    tatizo kwenye website ya udom hilo tangazo hali[po,LABDA MDAU ATUSAIDIE KUTUAMBIA HAYO MAJINA KAYAPATA WAPI
  2. M

    Serikali yawatimua kazi Madatari na Manesi wastaafu wote nchini

    Huko vyuoni si tu wataalamu wachache bali wataalamu hao wanacreate uchache kwa kuwalamba wanafunzi makarai makusudi! kuhusu resistance to change hyo ni njia ya kutetea ajira zao japo sometimes resistance huwa ndo tabia za baadhi ya binadamu yani mtu anapinga kila kitu.
  3. M

    Prof muhongo huu si uongo?

    Habari wanabodi. kutokana na kutokuwepo kwa umeme nmeshindwa kutafuta maana halisi ya neno mgao kwenye kamusi ya tuki. sasa yapata saa ya kumi na tatu bila umeme huku kwetu temeke.cjui nini sababu labda kwakuwa jana sikuangalia luninga jana labda wenzangu mna taarifa kuhusu kutokuwepo kwa...
  4. M

    Hii picha inakufundisha nini?

    mvumilivu hula mbivu
  5. M

    Tafsiri na uchambuzi wa matokeo ya udiwani

    Embu fanyeni hivi cdm 5/27*100=18.% tlp 1/27*100=3.5% ccm 21/27*100=77.7%
  6. M

    CHADEMA waweka bayana msimamo wao juu ya yaliyowasibu ma-Sheikh Ponda na Farid

    Nyie mnaoikashafu cdm kwa tamko ndo mnaonfnya niamini kuwa mnakipenda kwa kuwa ni chama cha kikristo kama ccm na baadhi ya watu wanavyosema.cdm wametoa tamko la maana tu ila udini ndo unaowasumbua!'
  7. M

    Sheikh Farid wa Uamsho 'atekwa nyara' visiwani Zanzibar

    ahh hauwezi ukawa utu huo
Back
Top Bottom