Recent content by Msekule

  1. Msekule

    Ndugu zangu sio kila kinachonga'aa ni dhahabu majuu sio mchezo

    Ajira gani hizo wewe upuuzi tu, kulipa watoto wa watu laki moja hata Nssf hakuna et umetoa ajira
  2. Msekule

    Ndugu zangu sio kila kinachonga'aa ni dhahabu majuu sio mchezo

    Unalolote wewe, umebaki kupiga picha serena hotel anakunywa chai na skonzi
  3. Msekule

    Ndugu zangu sio kila kinachonga'aa ni dhahabu majuu sio mchezo

    Well said kaka, hilo li lemtuz alina akili kabisa
  4. Msekule

    Ndugu zangu sio kila kinachonga'aa ni dhahabu majuu sio mchezo

    Upo sawa mkuu, uyo alikuja kuuza sura tu huko, mbona hata bongo hapa anachochote zaidi ya kupiga picha serena hotel anakunywa chai na skonzi, hana akili uyo mlipuuze amekalia siasa uchwara tu.
  5. Msekule

    Ndugu zangu sio kila kinachonga'aa ni dhahabu majuu sio mchezo

    Acha kuponda watu wewe mamaee, wewe unamaisha gani mazuri bongo wakati hata wakiita matajili wa mtaa unaoishi haumo kwenye listi? Kazi kupiga mi self kwenye Hotel kubwa kubwa na kujisifu wakati na wewe ni mchumia juani tu. Njoo na kiki nyingine nikuanike hadharani. Kama wewe ulishindwa acha...
  6. Msekule

    UFAFANUZI: Usalama wa Taarifa binafsi za Watumiaji wa JamiiForums

    Mkuu lakini na mimi nitaendele kuwa na mashaka sana na unachokisema, kweli unaweza kutuaminisha kwamba hujawai kutoa taarifa zozote kwa wana usalama? Kweli serikali itake taarifa kutoka kwako eti ukatae???? anyway ni mawazo yangu tu lakini mimi imani na Jf imetoweka kwa kiasi kikubwa. Ni mimi...
  7. Msekule

    Tulioenda majuu na kurudi home, tukutane hapa tupeane uzoefu, mafanikio na sababu zilizotufanya turudi

    Ongera sana mkuu, Mungu alikuongoza ukatumia hekima na busara.
  8. Msekule

    Wanawake Vaeni chupi za gharama

    Sema kwamba unatangaza biashara bro, ila sio kwa kiki hiyo uliotumia.
  9. Msekule

    Baada ya korosho, sasa zao la pamba limekosa wanunuzi nchini. Ni hujuma au ndio vita ya kiuchumi? Wanaogopa TRA kuwalundikia kodi na kuwafilisi?

    Kwakweli hali ni mbaya ngoja tupambane tu ughaibuni maana upepo wa kwetu hauleweki.
  10. Msekule

    Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

    Sasa mbona utaki kutoa namba tuka fanya research
  11. Msekule

    Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

    Tatizo la hawa dada zetu wanapoona wanaojiita wameokoka, yani wanapo fanya uovu huko mtaa mda mrefu na kujikuta amechelewa na kukimbia kanisani kumbe tabia ile bado ipo rohoni ndo maana tunawangusha kiulaini.
Back
Top Bottom