Wanawake Vaeni chupi za gharama

Heisenberg

JF-Expert Member
Apr 26, 2017
1,688
2,922
Kuna Mchepuko wangu kanitumia hiyo picha, " Etii Bebiii naomba nitumie elfu 11 ninunue chupi"

Mimi nilijua ananua chupi moja kumbe anataka dozen/ package

Hivi kweli package yote hiyo inauzwa elfu 11.????? Hapaana mchepuko wangu hawezi vivaa vichupi vya bei ndogo kiasi icho

Nimemuambia atafute chupi nyingine zinazoghalimu angalau elfu 50. Sio kuvaa kichupi cha 1800/=

Hata Nandy mwenye kabadirika now

Uzi tayari
FB_IMG_1562353208137.jpeg
 
Kuna Mchepuko wangu kanitumia hiyo picha, " Etii Bebiii naomba nitumie elfu 11 ninunue chupi"

Mimi nilijua ananua chupi moja kumbe anataka dozen/ package

Hivi kweli package yote hiyo inauzwa elfu 11.????? Hapaana mchepuko wangu hawezi vivaa vichupi vya bei ndogo kiasi icho

Nimemuambia atafute chupi nyingine zinazoghalimu angalau elfu 50. Sio kuvaa kichupi cha 1800/=

Hata Nandy mwenye kabadirika now

Uzi tayari
View attachment 1147618
Sema kwamba unatangaza biashara bro, ila sio kwa kiki hiyo uliotumia.
 
Napataga shida nikipitaga Mitaa ya sinza.
Kule kuna maduka mengi ya chupi hasa za pink na nyekundu na zimetundikwa.


Nikiwa naenda mjini napenda Sana shekilango road
Mzee huo ni ugonjwa
Utadhani mzee wa nyeto kaona picha ya sabani
 
Back
Top Bottom