Mjue ofisa anayelazimisha watumishi wake kufanya kazi hata kama ni wagonjwa,mpaka kufikia hatua ya kujifungulia ofisini.
Ofisa mmoja ambaye ndiye mkuu wa kitengo cha uhamiaji hapa Airport anaongoza kwa kukatalia watumishi ruhusa hata kama wakiwa mahututi afya zao.
Ofisa huyu anawakomalia watu...
Jioni nilijiskia vibaya nikaona nijongee pale hospitali,weee kilichonikuta sitaki hata kikutokee wewe.
Kwanza wanathaminiwa watu weupe tu, watu weusi baadae, kisha madaktari wenyewe pia hakuna. Baada ya kipimo cha Malaria nilimsubiria daktari kwa masaa matatu bila mafanikio ikabidi nisepe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.