kweli kabisa mama's boy kwani anafanya kazi lakinh anakaa kwa mama yake,anapikiwa,anachemshiwa maji ya kuoga mkika nae sehemu kutwa kuchaty na mama yake kwakweli tabia ilikuwa inakera ila sikuwahi kumwambia,kwasasa nilishakaa kando nae.wacha aendelee na mama yake.
Hii imenikuta na mimi yaani alivyonipelekwa tu kwa mama yake na kunitambukisha yule mama alicheka kicheko flani hivi,toka hapo mpendwa wangu akanibadilikia kabisa,huwa sipati jibu alimweleza nini mwanae juu yangu.ila sijawahi kuona mtoto wa kiume kuwa karibu na mama yake kiasi kile na mwanaume...
ina maana ukiwa katika mahusiano usionyeshe kupenda kupita kiasi au usimpende mtu mpaka akajua kuwa wewe kwake umekufa umeoza!akijua hivyo inakuwa kama ndio kiboko chake kwake,kwahiyo anaweza akakutendea vyovyote vile anavyojisikia lakini kwakuwa umeshamwonyesha kumpenda sana atajua huwezi...
sio kujitetea wanaume ndo chanzo cha matatizo katika swala la mahusiano.hata mpendwaje lakini kuwa na wanawake wengine ndo kawaida.toka nimeumizwa simwamini mwanaume yeyote yule maana naona wale wale kasoro majina tu.
Siku zote kama jambo halijakukuta hutalielewa uzito au wepec wake,kwa tuliokutwa na matatizo kulielewa vizuri neno hilo ni rahisi mno!ila usipende sana!!!
elewa sio kila ombi ni lazima ukubaliwe,kuna kukubaliwa na kukataliwa uwe tayari kwa lolote!jambo dogo walikatia tamaa hivyo?haiwezani Nchi zooote zikukatalie uraia zipo zitakazokupa uraia.
Pole kwa kutendwa,unadhani kwamba beutiful girl anaweza akawa ni potezeo lako la kutendwa?unataka wa kukuliwaza au kukuongezea stress?nafikiri good solution ya kukabiliana na maumivu ni kuji keep busy,na jichanganye na watu wengine.labda kama una hitaji company ya jambo jengine ila kwa kutendwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.