Miguno ya kimahaba

Miguno ya kimahaba

Mwamba028

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
4,648
Reaction score
3,807
We unaionaje hii makitu wakati wa kulana mauloda?
Mi naona inaongezaga mzuka flani hivi
Vipi kwako wewe ina mzuka au inazingua tu?
 
images.jpg
 
Nawasubiri wakuu wafunguke, mimi hapa mwangaliaji kwa nje
 
Mauloda ndo chakula gani?
Yaani nuliposoma komenti yako, ikabidi nisome kwanza nipo jukwaa gani... Maana nilishaanza kutupia vya JLW... ikabidi nifute ndo niandike hiviiii... Mauloda ni kufanya mapenzi (lakini we waza ki-JLW)
 
Yaani nuliposoma komenti yako, ikabidi nisome kwanza nipo jukwaa gani... Maana nilishaanza kutupia vya JLW... ikabidi nifute ndo niandike hiviiii... Mauloda ni kufanya mapenzi (lakini we waza ki-JLW)
Kumbe mapenzi ndo mauloda haya poa, mwalimu wangu hakumaliza topic...
 
Miguno hiyo inahitaji faragha, nyie wana familia kama mnataka miguno halisi lazima mtoke majumbani kwenu mwende hata kwenye mahoteli maana mnajizuia kulia kimahaba mnapokuwa majumbani mtaleta balaa kwa wanenu na wadogo zenu mnaoishi nao si mnajua mambo ya extended family
 
Kuna dada mmoja ukisikia mikelele chumbani kwake ujue kesho kabati au makochi mapya yataingia dada mbaaaayaaaaa
 
kucheka,kulia hata kuguna
zote hizi ni kelele
 
Back
Top Bottom