KWANINI MAISHA YAKO YAWE YA BAHATI NASIBU?
Ni meangalia jamii yangu inayo nizunguka hasa kwa vijana bado kuna vimbi kubwa sana la watu wanaishi basi na kujua nn kusudi hasa la kuishi na wala hawana habari na kuyajua hayo wanaishi maisha ya udhalilishaji pasi na kujua wamekua chini zaidi ya...
Samahanini ndugu mm naombeni ushauri
nataka kuanzisha biashara ya ps kuchezesha gemu
lakin ninamtaji mdogo sana
kutokana na udogo wa mtaji nuliokuwa nao nataka kuanza na ps2 na tv ya chogo ndogo
ninachotaka kwenu ni ushauri nifanyaje ile niwe tofauti na wengine ili niweze kupata wateja...
Husika na kicha wa habari hapo juu,
Ninaomba kushauriwa juu ya jambo hili. Mimi naipenda sana siasa, mzee wangu yupo CCM na ni mwanachama hai.
Kwakweli umenivitia sana kwa mzee wangu kuwa mwanasiasa japo si maarufu nchini lakini katika mtaa ambao yupo ni mtu tofauti sana na amenishauri kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.