Recent content by MSAKANOTE

  1. M

    nisaidieni wanaforum, huu ni utapeli ama ndo kazi zilivyo?

    usitume pesa kwa mtu ambaye humjui utalizwa!!!!
  2. M

    Jifunze namna ya Kuandika Mkataba Kisheria Unapouza au Kununua Kitu

    huo mkataba sio mzuri ni wa kukomoana, tafuta mwanasheria.ushauri kama hakuna mwanasheria wakati wa mauziano toa pesa yote muachane
  3. M

    Jinsi ya kupata Internship, Volunteering, Temporary job or Permanent job

    tupia transcript yako hapa akasijobz@gmail. com
  4. M

    Ukitaka kujua kuwa mpenzi wako bado anakupenda ila anatishia kukuacha

    Habari wadau. Imekuwa desturi watu ambao wako kwenye mahusiano wanaachana halafu baadae wanarudiana tena. lko hivi siku ya kuachana ikiwa anayemuacha mwenzake anakuwa anaongea sana na kujitapa ujue hakuna lolote kesho akiambiwa warudiane anarudi wepesi. kuna mengine wadau mtaongeza mimi...
  5. M

    Nampenda sana ila ana ngoma

    use condom all the time, and at the time u need kid u can do soft sex,
  6. M

    Nakodisha sehemu ya jiko la biashara

    unakodisha shs. ngapi?
  7. M

    Kuhusu TRA Oral interview

    ushuhuda mm nishaanza kazi huku mtukula, najitolea lakini .....
  8. M

    Jinsi ya kumfanya mwanamke akujibu message zako

    tuma mpesa ka 20000 utajibiwa "waooh amizing baby ndani ya mshale mmoja"
  9. M

    Ukiona unaitwa oral interview 5 na hujafanikiwa mwarobaini huu hapa!

    yaan mzee siku hizi watu hawangalii sura yaan hapo watakukumbuka sana na ukikuta interview za nyomi kama tra,udom na kwingineko
  10. M

    Hakuna mwanaume rijali anayeweza kuwa na mwanamke mmoja tu

    kama ni hivo sisi wapenda mitara ni marijali sana,
  11. M

    Ukiona unaitwa oral interview 5 na hujafanikiwa mwarobaini huu hapa!

    u know hapa bongo watu wazushi unaenda oral interview unatema maunjanja na ujuzi wanakupotezea wanachukua yule ambaye hata kujieleza hawezi ndo atapewa hiyo nafasi. sasa basi dawa ni hii hapa wakikupa nafasi ya kusema chochote useme mwishoni sema hivi kuna mtu mmoja ameonekana kunipinga na...
  12. M

    Naomba kufahamishwa kuhusu One Acre Fund

    pesa ya heka moja najua umenisoma
  13. M

    Wanaotafuta kazi jihadharini na matapeli hawa

    pia kuna anaejiita mr. Juma, frank noma kwa wizi hawa!
  14. M

    Wanaotafuta kazi jihadharini na matapeli hawa

    Kumekuwa na wimbi la matapeli kwenye soko la ajira kwa kuwatapeli wanatafuta kazi kuwa watoe kitu kidogo ili wawapitishe kwenye usaili, najiuliza kweli wewe mwajiri unahitaji elfu 40 au 50 kwa mtafuta ajira?, kama sisi tunatafuta ajira tumeamua kugeukana nayo tujue.
  15. M

    Re: Nafasi ya kazi ya kujiajiri

    Hi Mr. pacifica hapo umewaweza wabongo ndo tulivo tunaongea sana na kukosoa wengine but kazi hatufanyi nakupongeza kwa kuwachana laivu i think i need to work with you course i want to develop my idea concern with business. i will be happy if you will consider my application good night hussein...
Back
Top Bottom