Kama unaakili fupi huwezi kukiona cha kujifunza kwa pierre.ngoja nikupe pa kuanza kukiona cha kujifunza kutoka kwa guyu bwana anza kufikiria kuwa chochote kinaweza kuwa fursa ya kukuingizia kipato
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejaribu kuuelewa mfano wako mkuu mtoto kaambiwa ukiweka sukari kwenye chai ntakuchapa lakini akaja shetani akasema ukiweka sukari kwenye chai hakika chai itakuwa tamu.ni kweli mtoto baada ya kuweka sukari kwenye chai ikawa tamu lakini adhabu ya kuchapwa na mzazi inakuja kwa sabab mtoto...
Bro unataka kutuambia ulifanikiwa kuruka kwenye pikipiki iliyokuwa speed ya 120kph[emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119] inawezekana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasemaga ndege huwa zinakuwa kasi mno huko angani mfano ikiwa 300kph sasa na ule upepo kule juu hivi inawezekana ndege ikafunguka na mkawa salama kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.