Recent content by msafiripb

  1. msafiripb

    Asili ya nchi ya Afrika ya Kusini

    Nauza gari aina ya gx 100 nyeupe namba ni auq, ,gharama ni.million 3. Tuu,anayetaka anicheki kwa 0712 7516 99.
  2. msafiripb

    Umuhimu wa yai kama kifungua kinywa

    Mayaivyakuku wakienyeji lkn cyo ma broiler ..
  3. msafiripb

    Billboard - The 10 Greatest Rappers of All Time

    Wewee Hiphop without 2pac aargh waapi?
  4. msafiripb

    Wewe ni mkulima wa vitunguu unayetafuta soko? tuwasiliane

    Jamani nyie ambao mnasema mnalifahamu soko la vitunguu basi muwe active tafadhali,tunataka tujue tunauzaje na yaan bei ikoje na vitu km hvyo
  5. msafiripb

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Wadau habarini humu,mimi nipo geita,nina kiasi cha Tsh.2million,nimejaribu kuchekecha kichwa nimeona bora nifanye biashara ya kuuza weaving,wigs,Rasta na ikiwezekana pia pad na pampers za watoto lkn cjui wapi ntanunua kwa jumla,faida,gharama zikoje na mchanganuo wake in general,msaada jamani...
Back
Top Bottom