Recent content by MSABAHA MWENDAPOLE

  1. M

    much respect kwa wana jamvi hatimae nimepata kazi kupitia utumishi.

    kwa matangazo yaliyokua yakiweka jamvini, thax God for what u did to me, never give up brother n sisters kutafuta kazi ni kugumu asikwambie mtu, nimesugua benchi for more than 2 years now i get the starting point, usichoke kujaribu
  2. M

    Ahsante MUNGU, Utumishi wameniokoa.

    same to me namshukuru sana mungu nimepata kupitia utumishi
  3. M

    Tangazo la kupotelewa na vyeti

    pole sana mungu atakusaidia utavipata
  4. M

    Msaada kazi za Meli(Ubaharia)

    Kaongee vizuri na Katandula, kwani we umesoma level gani?
  5. M

    Ushauri

    yote yanawezekana, unaweza piga masters direct without taking postgraduate depending on your gpa if its above 3.3 there is no need of postgraduate
  6. M

    Haya jamani tumishi imesikia kilio cha wahanga wa ajira katika kada za kilimo, ufugaji na uvuvi

    Yap yap ajira ngumu, ila post ni nying tembelea tovuti ya utumishi
  7. M

    Haya jamani tumishi imesikia kilio cha wahanga wa ajira katika kada za kilimo, ufugaji na uvuvi

    Ni zaidi ya nafasi 2400+ tembelea tovuti, kweli ajira ngumu zamani walikuwa wanapangiwa tu sasa hivi applications balaaaaaaa.
  8. M

    Pccb na interview zao

    pccb hata deadline bado haijafika unaulizia shortlist, baadae sana endelea kusaka ajira
  9. M

    kumbe experience ni kigezo muhimu kupunguza ushindani !!

    mapema mno kutoa takwimu wakati deadline bado haijafika, wingi wa applicants usikutishe, ukiitwa kakomae nao
  10. M

    Madudu LearnIT-Aptitude test

    Sijajua, vipi hawajakupigia simu?
  11. M

    kuitwa interview

    Best wishes
  12. M

    Madudu LearnIT-Aptitude test

    Wanao kudis Nina mashaka nap,huenda ndo wake wale
Back
Top Bottom