Recent content by Ms. Kadadaa jumapili

  1. Ms. Kadadaa jumapili

    Manji atakiwa kuripoti Ofisi za Mamlaka ya Uhamiaji. Pasi 126 za kusafiria zakamatwa ofisini kwake

    I guess there is something behind the scene.....may God be with him......
  2. Ms. Kadadaa jumapili

    Mpenzi wangu analilia nimnunulie gari kukwepa miluzi barabarani

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umemaliza.....kwani tokea anakuwa alikuwa hapigiwi hiyo milusi na kelele? Mbona hakumwambia baba yake amnunulie, pambafu kabisa..
  3. Ms. Kadadaa jumapili

    Kwanini Lowassa anawapoteza vijana CHADEMA?

    Angeacha siasa Leo wewe ungeandika nini? [emoji12] [emoji12]
  4. Ms. Kadadaa jumapili

    Mwana FA umetusaidia sana maana walizidi kutuchuna

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] eti Maembe
  5. Ms. Kadadaa jumapili

    Umejifunza nini kutoka kwenye Uchaguzi wa Marekani?

    Ila kweli ujue, halafu nadhani ndio Democratic walijua itawasaidia kushinda ila imekuwa kinyume
  6. Ms. Kadadaa jumapili

    Umejifunza nini kutoka kwenye Uchaguzi wa Marekani?

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] sio Zecha ndio kafanya figisu Trump akashinda?
  7. Ms. Kadadaa jumapili

    Umejifunza nini kutoka kwenye Uchaguzi wa Marekani?

    Aisee hii kweli kabisa, hiki ndicho kilichomkuta Hillary....umdhaniae ndie kumbe sie.[emoji3] [emoji3]
  8. Ms. Kadadaa jumapili

    Umejifunza nini kutoka kwenye Uchaguzi wa Marekani?

    Kusimamia unachokiamini, kutokukata tamaa hata kama wengine watakuacha, hakuna safari rahisi kwenye maisha zaidi ya kupambana na mwisho utafikia ndoto zako.
  9. Ms. Kadadaa jumapili

    Umejifunza nini kutoka kwenye Uchaguzi wa Marekani?

    Kutokana na hali ya kampeni ilivyokuwa Marekani na matokeo yaliyotangazwa Leo, je wewe binafsi umejifunza nini.?
Back
Top Bottom