Recent content by Mryshow Master

  1. Mryshow Master

    Tumia lugha ya Hospitali Kuelezea Mahusiano yako ya Kimapenzi kwa sasa.

    Nimekuita kwa siri nikwambie ukwel tu, ebu jaribu na upande wa pili
  2. Mryshow Master

    Katika suala zima la mahari ya mwanamke bado Dini ya Kiislamu wameendelea kuupiga mwingi

    Twendeni ulaya kumbe bure tu. Hii sizani kama nikweli [emoji23]
  3. Mryshow Master

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Geita -bukombe Ila masomo gani
  4. Mryshow Master

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Geita nije Dar, pwani, Tanga Idara sekondari Masomo science chem&bio
  5. Mryshow Master

    Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

    Mwanamke kapewa nafasi kubwa sana kwenye uislam ila huwezi kujua bila kusoma. Uislamu haujaacha kitu katika maisha ya binadamu. Ukisoma somo la ndoa basi utasoma pia haki za mke kwa mume na wajibu wa mume kwa mke.
  6. Mryshow Master

    Mapenzi hayana komando

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  7. Mryshow Master

    Neighbours Exchange wives After Finding Out That They Have been Having An Affair

    Just a revenge and moving on, never do something foolish like that.
  8. Mryshow Master

    Hapa kuna ndoa kweli?

    Nani aliekwambia shetani akizeeka anakua malaika? Akubali kubeba maumivu au kubaki salama.
  9. Mryshow Master

    Baada ya kumjali na kupigania mafanikio yake, leo nimegeuka kuwa mshamba

    Kamwe usije ukampenda mwanamke akiwa kwenye shida ila kama nikumsaidia msaidie tu. Furaha au huzuni huwa vinatafuta pakupumzikia kwa muda. Pole bro endelea na maisha yako yana umuhimu mno kuliko huyo uliekutana nae ukubwani.
  10. Mryshow Master

    Chenai upo wapi my love?

    Very interested bro Short and attractive. Big up
  11. Mryshow Master

    Rais Magufuli: Watanzania endeleeni kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Korona. Sijazuia matumizi ya Barakoa!

    Kama huwezi kukimbia basi jaribu tu kutambaa. Tanzania ya sasa sio tena ya kichwa cha mwendawazimu mkuu anatakiwa aelewe hili
Back
Top Bottom