Mwanamke kapewa nafasi kubwa sana kwenye uislam ila huwezi kujua bila kusoma. Uislamu haujaacha kitu katika maisha ya binadamu. Ukisoma somo la ndoa basi utasoma pia haki za mke kwa mume na wajibu wa mume kwa mke.
Kamwe usije ukampenda mwanamke akiwa kwenye shida ila kama nikumsaidia msaidie tu. Furaha au huzuni huwa vinatafuta pakupumzikia kwa muda.
Pole bro endelea na maisha yako yana umuhimu mno kuliko huyo uliekutana nae ukubwani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.