Recent content by mrsmalaika

  1. M

    Hesabu zambeba Mollel Arusha Mjini

    Msumari wa moto... nmelipenda jina lako na mawazo yako pia
  2. M

    Ukimya wa Lowassa unaitesa CCM na UKAWA

    Hehehehehehehee umenifanya nichekeee
  3. M

    MwanaHalisi: Kikwete akomba hazina! Fedha zilizopo hazitoshi kuendesha serikali hata siku 20

    Etiiiiiiiiiii hahahahahahahahahahaha kuna moja kali hiyo mpka inapalia watakuwa wametumia hiyo eeh
  4. M

    Majina ya Wabunge Viti Maalum hadharani: CCM-64, CHADEMA-36, CUF-10

    Hahahahahahaha inawezekana anataman kweli kweliiiiiii
  5. M

    Alikotokea Nabii Frank Julius Kilawah wa Shilo Ministries

    Kweli hata kama ana jambo l kimungu ndani yake basi analitumia vbaya siku hizi sijui anaonyeshwa wapi by nlikuwa naangaliaga vpnd vyake star tv ule ni uaguzi Mungu sio dhalimu hivyo unatajiwa matatizo yako chanzo hata kama ni nduguyo sasa hapo kma mtumishi anajenga au anabomoa???ni udhalilishaji...
  6. M

    Magufuli: Anza na wabunge kuisoma namba

    Dah ni mateso makubwa watoto wa wakulima ndoto za kusoma chuo kikuu zinafifia kuna dgo mmoja kapata dev 1dada yake alirelax akajua dogo atapata 100% mweee hata mia hajapata
  7. M

    Hongera Lowassa, Hongera UKAWA

    Nawaza kama tusingeibiwa kura milion kumi yetu magu na waliobaki wangegawana hizo tano mweee hongera UKAWA hongera ENL
  8. M

    Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

    Sasa na wewe sijui umeandika madudu gani hapa
  9. M

    Hatimaye Nape Akata Tamaa. Amkatalia Magufuli Ziara za Dar

    Hahahhahaha hapana jamani sio kwa haya maombi mweee
  10. M

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    I saw it I saw it nmeogopaaaaa hahahahahahahahah yaan mpka 25 tutaona mengiiii
  11. M

    Vijana kuvalishwa sare za CCM na kujifanya kurudisha kadi -Arusha

    Hehehehehe hicho kitakuwa kile kikundi kidgo kileeee arusha ni mabadilikoooooo hawa walishaamua siku nyingiiiiii
  12. M

    Kutoka viwanja vya Sinoni-Arusha: Mkutano wa Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa - Okt 8, 2015

    Wakate siku hizi kuna simtv heheheheheh mb za kutosha na powerbank yangu iko full kiruuuuuuuuu in joycekiria's voice....
  13. M

    Kutoka viwanja vya Sinoni-Arusha: Mkutano wa Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa - Okt 8, 2015

    Nakumbuka wakati wa kumtambulisha mgombea mjini kulikuwa kimyaa utadhan jumapili biashara hakuna boda hakuna watu pia wachache sana pale kimandolu tulikuwa tunapishana uwanjani ili kuepusha majanga daah lowassa weeeeh wizi wako huu ona sasa umeiiba arusha yoteeee
Back
Top Bottom